Pole sana dada ila una uhakika uyo ni kaka ake kweli?. Na kama ni kaka ake basi uyo mumeo ndo wale wanaume wa jf waliokula tunda kimasihara kwa ndugu zao ila huyo wako kashindwa kuachana na uyo dada ake
By the way uyo mumeo kabila gani maan kuna makabila kutembea wao kwa wao sio shida zao.
Na tangu Mange aseme athibitishe kipindi kile alivyofake kuumwa ili apate pesa ndo kabsa watu kama wamempuuza,.....eti anasema hataki kufa kama Hawa, Kufa muhimu bi dada
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.