Jaribu kuushughulisha ubongo wako kidogo mkuu. Unakumbuka Mpina alichangia nini kwenye sakata la DP WORLD?..
Kuna hoja nyingi sana na Ngumu mpina kajitoa Muhanga kuziongea mpaka unamuonea huruma kwamba huyu anaotezwa kesho(in Kagera's chairman for UVCCM)
Ziara niya Kikazi, sio ya Kampeni. Konde Boy, Ali Kiba wanatafuta nini?
Haya, naona na TISS wanatimba kepu za CCM/Mama, vyanini wakat sio campaign Rallies?
#MsituoneNyani!
Namanyere-kirando njia unatisha mnoo, nmepita majuzi huko for the first time. Kama unatoka namanyere, mbele mbele kule kuna ki daraja flan, ukiwa unapita, yaan ata kama huna dini, lazima usalie ata mizimu. Tena sio daraja moja, yapo kama matatu ivi, walaah!
Tulia mkuu, kuna maridhiano tayar. Kwaiyo, hakuna haja ya makelele. Nchi ishatulia tayar. Famaskhara nn?
Sent from my TECNO CX Air using JamiiForums mobile app
Wajinga sana awa. Mwenye nishawatundika hela yakutosha kwanzia Songesha na M-PAWA, kimyaaaa. Biti kama lote, sibabaiki ng'oo
Sent from my TECNO CX Air using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.