Kucheza kwenye app ya Parimatch ndio uhakika zaidi, Mfumo Salama na Unaotegemeka - Parimatch ni kampuni inayotambulika katika sekta hii, inayohakikisha miamala salama, ulinzi wa data na malipo ya kuaminika.
Ukiniuliza Mbowe na Lissu nani anatumika na CCM, nikuulize Mbowe alisema atamfikisha Peter Msigwa mahakamani ndani ya siku tano iwapo asipomlipa bilioni 5 na kumuomba radhi. Huu sasa ni mwezi wa tano, Msigwa anatia spana tu. Upande wa Mbowe zzzzzzzzz!!!
Mfyuu, tunamtaka Lissu..
Kwa upande wa Temeke (Mbagala), mungeongeza juhudi ya kutanua Barabara ya kuanzia Kituo kikuu cha mabasi ya mwendo kasi Mbagala mpaka Vikindu pia lijengwe daraja linaloeleweka pale Kokoto.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.