Recent content by tunduma001

  1. T

    Kuna kazi wanaozifanya sijawahi kuelewa huwa wanaishi vipi

    Mkuu usibishe usichokijua kabisa, kuna goli nilikuwa nakunja 60k mpaka 70k per day, mchawi location tu na watu wasikucopy mitaa hiyo maana wabongo ni noma,
  2. T

    Sina amani ya moyo na maisha ya mjini

    mzee nilikulia dsm(kigogo round about) mwaka fulan nikasema nimepachoka town kama wewe, nikaingia mkoa kilichofuata mzee mpaka jeans, raba nilikuwa najiuliza mara ya mwisho kununua ilikuwa lini, nilipakumbuka dar mzee....ila kama unakiweza KILIMO cha mkono nenda mzee, nisikutishe bure
  3. T

    Sina amani ya moyo na maisha ya mjini

    Kijijini jau wewe komaa mjini tu ndio kuna maisha, kijijini kuna shida nyingi sidhani kama utaweza kuzivumilia, KILIMO hili neno lisikiege tu usiombe ukutane nalo utajuta na utapakumbuka dar mzee
  4. T

    Sina amani ya moyo na maisha ya mjini

    Hapana sio baridi, mbona arusha kuna baridi na maambukizi yako chini compared na njombe( nyanda za juu kusini)? Shida watu wa kule hawana elimu kuhusu STDs, tabia zao n.k, picha linaanza sijawahi kukataliwa na demu yoyote mpaka naondoka njombe
  5. T

    Sina amani ya moyo na maisha ya mjini

    Kitu kilichonishangaza njombe, ndio mkoa unaongoza kwa ngoma ila wadada wanatoka sehemu mbali mbali kuja kujiuza nilistaajabu sana
  6. T

    Sina amani ya moyo na maisha ya mjini

    Njombe town kupo poa sana ni moja ya sehemu nilizozipenda sana, kuna hotel inaitwa hillside nayo iko poa sana, ndio mara ya kwanza kuona mdada wa kiarabu anajiuza njombe kwenye hii hotel
  7. T

    Sina amani ya moyo na maisha ya mjini

    Yah nilikuwa natimba sana pande hizo, na kuna club moja hivi inaitwa jonhson mall ipo apo apo njombe town sijui kama unaipata? Ina balaa nayo
  8. T

    Sina amani ya moyo na maisha ya mjini

    Nje ya mada, kuna mtaa unaitwa triple 7/vegas/ mtaa wa dhambi unaujua?
  9. T

    Sina amani ya moyo na maisha ya mjini

    Sikutishi nakupa picha halisi ya uko vijijini, mbali na magonjwa,kuna umaskini wa kutisha, kuna kitu kinaitwa masika(kipindi cha kupanda) hichi ndio kipindi mtu wa miaka 20 anachakaa na kuwa kama 56 ni kigumu balaa, wenye ndugu wanaendaga mijini huko,niseme tu kijijini ni kwenda kusalimia na...
  10. T

    Sina amani ya moyo na maisha ya mjini

    njombe town niliishi sana mitaa ya national kuna mzee anaitwa tweve kajenga nyumba zake kama hostel hivi....umenikumbusha mbali mkuu
  11. T

    Sina amani ya moyo na maisha ya mjini

    Nilikuwa sijui kitu kuhusu typhoid,uti,amoeba na magonjwa mengine nilivofika kijijini niliumwa magonjwa yote hayo.Hata dawa feki na sub standard vijijini ndio kwao,kuna baadhi ya huduma za afya kuzipata mpaka halmashauri ambazo ni kama wilayani mfano; huduma ya kung'oa jino iyo mpaka...
  12. T

    Sina amani ya moyo na maisha ya mjini

    Mkuu nazungumza uhalisia kabisa, wengi waliotoka vijijini wakifika mjini hawasemi ukweli kiasi kwamba kuna watu wanaingizwa chaka kama wewe, ila utakumbuka hii comment siku moja. Mimi nimezunguka sana mikoani napafahamu mkuu
  13. T

    Sina amani ya moyo na maisha ya mjini

    Una umri gani? upo serious kweli? kijijini sio sehemu nzuri ya kuishi, magonjwa, huduma mbovu za kijamii, mzunguko mdogo wa hela na changamoto nyingine kibao, sio sehemu ya kuishi labda ni kwenda kusalimia na kurudi
Back
Top Bottom