Kutongoza ni fani kama zilivyo nyingine, nilihangaika sana lakini siku nilipojua mahusiano yanataka nini nilienjoy sana.kila kitu kina muda wake na wakati wa mungu ni wakati sahihi,
Liliundwa azimio la arusha 1967 kuepusha conflict of interests, mzee mwinyi 1994 akaunda azimio la zanzibar lililofuta yale yote azimio la arusha lililokataza ikiwepo wafanyabiasha kuwa viongozi na viongozi kuwa wafanyabiashara
Yatokee kihalali hayo matabaka sio kufosiwa kuwepo mbongo yeyote akionekana kurise wanamfanyia figisu nia na madhumuni tuendelee kuwa maskini kwenye nchi yetu mfano, kyando wa kiwanda cha nyavu za uvuvi
Hao sio waafrika achilia mbali watanzania na wao wanalijua hilo, wapo hapa kuvuna tu, wamejipenyeza kwenye ngazi za maamuzi ili kulinda maslahi yao tu muhindi/mwarabu awe na uchungu na mwafrika mpka awe mbunge/waziri umeona wapi?.sisi waafrika ndio tulifika hapa kabla yao wao ni walowezi tu hapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.