Wakina bakhresa,gsm,dewji,rostam na ponjoro wengine ccm imewatajirisha sana ila leo kuna washamba wanaamini hawa utajiri ulitoka kwa babu zao
NB;kwenye utajiri wao hawa kuna wanasiasa ikiwemo mwinyi family
Huyo ni mzanzibar alafu pia ni mwarabu huoni hata kiswahili tu ni shida kwake, ata umueleweshe vipi hawezi kukuelewa kwa sababu ana sababu zake binafsi za kusupport mauaji, usimuone mjinga ana yake huyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.