Recent content by tunduma001

  1. T

    Mohamed Issa: Wanaotoka Tanzania Bara kwenda Zanzibar wawe na Passport

    Sisi hizi kelele tushazichoka,sasa wachague kuwa wilaya ya tanganyika au kuvunja muungano
  2. T

    Safari ya Majaribio ya Treni ya SGR na Viongozi wa Dini kutoka Dar es Salaam - Dodoma kwenye Dua na Maombi ya Kitaifa

    Ifike mahala hawa viongozi wasijione wao ndo watanzania sana.Chukua wakandarasi tia ndani ili waone mapungufu ya mradi
  3. T

    Paul Makonda atishia kuwataja wanaolipa watu 'Kumtukana Rais Samia mitandaoni', wamo Mawaziri

    Nchi ipo kwa mbumbumbu sasa unadhani kwa nini hasitukwane
  4. T

    Majiji Tajiri Africa

    Sio mbaya kwa dsm, ila tuongeze juhudi
  5. T

    Marekani yaipa Israeli mabomu ya kufumua mahandaki, yaani linapiga hadi kunako

    safi sana,wakitoka hapo waje na hapo zanzibar watuondolee itikadi kali
  6. T

    Israel yaanza kutembeza kichapo Lebanon

    Safi sana na bado
  7. T

    Ukimya wa Philip Mpango na Mwigulu kwenye ishu ya DP World unashangaza

    Thubutu ngoja tuone na wazee wa chetezo washatoa waraka ivi
  8. T

    Tetesi: MELT group walikopa Billion 250 kutoka benki ya Maendeleo ya Africa Kwa kutumia Kiwanda Cha Musoma textile Mills?

    kipindi cha mabadilko kutoka ujamaa kwenda ubepari,wajanja wengi walitajirika kizembe sana wakishirikiana na watawala.Si ajabu miaka ijayo kukuta ndani ya makampuni ya bakhresa au mo kuna hisa za mzee mwinyi au kikwete.
  9. T

    Hamad M. Hamad: Zanzibar imefanya chaguzi 6, ni mbili tu hazikuwa na mauaji

    kwa nini lisifanyike? hiyo ndo ilikuwa shabaha ya muungano kama ulikuwa hujui.........ngoja ipo siku tu
  10. T

    Komredi Kawaida: CCM ilipigania uhuru wa Tanzania na Mapinduzi ya Zanzibar

    ngoja kuna watu watakwambia WAISLAMU............sijui mohamed said yuko wapi na wenzie
  11. T

    Hamad M. Hamad: Zanzibar imefanya chaguzi 6, ni mbili tu hazikuwa na mauaji

    nachokimaanisha ni kuivunja Smz na zanzibar kuwa wilaya ya temeke mkuu
Back
Top Bottom