Mkuu usibishe usichokijua kabisa, kuna goli nilikuwa nakunja 60k mpaka 70k per day, mchawi location tu na watu wasikucopy mitaa hiyo maana wabongo ni noma,
mzee nilikulia dsm(kigogo round about) mwaka fulan nikasema nimepachoka town kama wewe, nikaingia mkoa kilichofuata mzee mpaka jeans, raba nilikuwa najiuliza mara ya mwisho kununua ilikuwa lini, nilipakumbuka dar mzee....ila kama unakiweza KILIMO cha mkono nenda mzee, nisikutishe bure
Kijijini jau wewe komaa mjini tu ndio kuna maisha, kijijini kuna shida nyingi sidhani kama utaweza kuzivumilia, KILIMO hili neno lisikiege tu usiombe ukutane nalo utajuta na utapakumbuka dar mzee
Hapana sio baridi, mbona arusha kuna baridi na maambukizi yako chini compared na njombe( nyanda za juu kusini)? Shida watu wa kule hawana elimu kuhusu STDs, tabia zao n.k, picha linaanza sijawahi kukataliwa na demu yoyote mpaka naondoka njombe
Njombe town kupo poa sana ni moja ya sehemu nilizozipenda sana, kuna hotel inaitwa hillside nayo iko poa sana, ndio mara ya kwanza kuona mdada wa kiarabu anajiuza njombe kwenye hii hotel
Sikutishi nakupa picha halisi ya uko vijijini, mbali na magonjwa,kuna umaskini wa kutisha, kuna kitu kinaitwa masika(kipindi cha kupanda) hichi ndio kipindi mtu wa miaka 20 anachakaa na kuwa kama 56 ni kigumu balaa, wenye ndugu wanaendaga mijini huko,niseme tu kijijini ni kwenda kusalimia na...
Nilikuwa sijui kitu kuhusu typhoid,uti,amoeba na magonjwa mengine nilivofika kijijini niliumwa magonjwa yote hayo.Hata dawa feki na sub standard vijijini ndio kwao,kuna baadhi ya huduma za afya kuzipata mpaka halmashauri ambazo ni kama wilayani mfano; huduma ya kung'oa jino iyo mpaka...
Mkuu nazungumza uhalisia kabisa, wengi waliotoka vijijini wakifika mjini hawasemi ukweli kiasi kwamba kuna watu wanaingizwa chaka kama wewe, ila utakumbuka hii comment siku moja. Mimi nimezunguka sana mikoani napafahamu mkuu
Una umri gani? upo serious kweli? kijijini sio sehemu nzuri ya kuishi, magonjwa, huduma mbovu za kijamii, mzunguko mdogo wa hela na changamoto nyingine kibao, sio sehemu ya kuishi labda ni kwenda kusalimia na kurudi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.