Recent content by tunduma001

  1. T

    JamiiForums Tanzania Nataka niuache udomo zege nimechoka

    Kutongoza ni fani kama zilivyo nyingine, nilihangaika sana lakini siku nilipojua mahusiano yanataka nini nilienjoy sana.kila kitu kina muda wake na wakati wa mungu ni wakati sahihi,
  2. T

    JamiiForums Tanzania Hatukuwa tofauti sana na Singapore; kwanini Nyerere aliamua kujirundikia madaraka ya Urais ikawa kama ufalme?

    Takbirrrrrr Kwenye makampuni ya bakhresa na metl group kuna hisa za familia ya mzee mwinyi
  3. T

    JamiiForums Tanzania Je, Kila Mwanasiasa Tajiri ni Fisadi?

    Liliundwa azimio la arusha 1967 kuepusha conflict of interests, mzee mwinyi 1994 akaunda azimio la zanzibar lililofuta yale yote azimio la arusha lililokataza ikiwepo wafanyabiasha kuwa viongozi na viongozi kuwa wafanyabiashara
  4. T

    JamiiForums Tanzania Je, Kila Mwanasiasa Tajiri ni Fisadi?

    Azimio la arusha&azimio la zanzibar
  5. T

    JamiiForums Tanzania Hivi Tanzania itakuja pata tajiri namba moja mweusi, atakuwa nani?

    Hahaha nilijua tu pole😂😂
  6. T

    JamiiForums Tanzania Hivi Tanzania itakuja pata tajiri namba moja mweusi, atakuwa nani?

    Weka ushahidi hapa kwamba sisi ni wageni na wao ni wenyeji, bichwa flat wewe
  7. T

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio Jamii tajiri zaidi Tanzania?

    Nimewaona sana morogoro wakawaida sana
  8. T

    JamiiForums Tanzania Hivi Tanzania itakuja pata tajiri namba moja mweusi, atakuwa nani?

    Yatokee kihalali hayo matabaka sio kufosiwa kuwepo mbongo yeyote akionekana kurise wanamfanyia figisu nia na madhumuni tuendelee kuwa maskini kwenye nchi yetu mfano, kyando wa kiwanda cha nyavu za uvuvi
  9. T

    JamiiForums Tanzania Hivi Tanzania itakuja pata tajiri namba moja mweusi, atakuwa nani?

    Wao kwao wanawabagua alafu kwenu muwachekee hizo akili au matope?
  10. T

    JamiiForums Tanzania Hivi Tanzania itakuja pata tajiri namba moja mweusi, atakuwa nani?

    Wewe ni kichaa, historia inaonyesha baadhi ya makabila yapo kiasili tangu kuumbwa kwa dunia tofauti na hao walowezi wa juzi juzi tu
  11. T

    JamiiForums Tanzania Hivi Tanzania itakuja pata tajiri namba moja mweusi, atakuwa nani?

    Huyo ni mlowezi na sasa wanataka kutuaminisha sisi(waafrika) ni wageni alafu wao ndio wenyeji
  12. T

    JamiiForums Tanzania Hivi Tanzania itakuja pata tajiri namba moja mweusi, atakuwa nani?

    Hao sio waafrika achilia mbali watanzania na wao wanalijua hilo, wapo hapa kuvuna tu, wamejipenyeza kwenye ngazi za maamuzi ili kulinda maslahi yao tu muhindi/mwarabu awe na uchungu na mwafrika mpka awe mbunge/waziri umeona wapi?.sisi waafrika ndio tulifika hapa kabla yao wao ni walowezi tu hapa...
  13. T

    JamiiForums Tanzania Hivi Tanzania itakuja pata tajiri namba moja mweusi, atakuwa nani?

    Ubaguzi wa namna gani, hao(wahindi&waarabu)wewe ushawahi ona wakijiita watanzania au waafrika?
Back
Top Bottom