Recent content by TUNDUJECHA

  1. T

    Nataka kujua kama join instructions za vyuo vya mifugo zimetoka

    mara nyingi huwa wanatoa kwenye tovuti ya wizara vyuo vyote vya mafunzo ya mifugo( LIVESTOCK TRAINING AGENCY- LITA)
  2. T

    Mwajiri (serikalini) kuchukua vyeti halisi (originals) ili kuvihakiki

    ondoa hofu watavpata tu serikali sikivu hii na inajua nn inachokifanya
  3. T

    Mnyika kalisahau jimbo lake la Kibamba

    Ni haw hawa mkuu walisema mnyika hatoboi ubunge tena hata kama kahamia kibamba lakini ukumbuke kibamba si lilikuwa jimbo la ubungo au? Si wananchi walewale ambao liwaongoza akiwa ubungo? Acha unafiki bro mi ni mkazi wa kibamba jamaa yuko poa tu hana shida ni mchapakazi labda cjui unayako binafsi...
  4. T

    Msaada wa Sponsor wa Elimu

    Pole kaka/dada kama unasoma masters inamaana tayari unashahada au elimu yeyote inayoendana na hiyo, hebu jitafakari kwanza wakati unachukua maamuzi ya kuaply hukujua kama kuna gharama , za masomo? baada ya kumaliza shahada yako ulikuwa unajishughulisha na nini? kama unacho chakuanzia sema tujue...
  5. T

    Karibu tushauriane juu ya nini cha kufanya na matokeo yako ya kidato cha 6

    Weng mmemshauri ya kuendelea na shule lakini yeye kasema hajui la kufanya anaweza hata fikiria kufanya biashara pia kwani nalo ni jambo la kufanya
  6. T

    Tetesi: Darasa la saba kufutwa, somo la maadili laanzishwa shule za msingi

    kuna mambo watanzania si yakuyafanyia dhihaka mfano elimu ni moja ya hayo mambo sijui nchi hii inaenda wapi toa enzi za yule jamaa wa mafinga mr Mungai hadi leo mama Ndalichako ni aibu tupu mambo yamebadilishwa chungu nzima watanzania tupo kimya na wengine ni waathirika wa haya mi naona kuna...
  7. T

    Napata wasiwasi na shule anayosoma kijana wangu

    Afadhar ya wewe unapitia hata madaftar ya mwanao na kujua wap kuna makosa wengine wapo humu hata hawajawah pitia madaftar ya watoto zao kumbuka msingi hujengwa toka chini HONGERA BABA UNAYE JUA MAJUKUMU YAKO
  8. T

    Kozi ya Bachelor of Logistics and Transport management ina ajira kwa sasa???

    Du wakat mwingine inahitaji moyo kupokea ushauri haya lakin dogo nadhani ashaelewa
  9. T

    Rais Magufuli, mimi kusoma sijui je hata picha sioni?

    mwenye........haambiwiwi tazama hakika ni ushauri mzuri wapo humu wanauona
  10. T

    Ukiona SMS hii ujue ni Tapeli!!!!

    umakin unahitajika hasa kwa vijana wa kileo ambao kujua mchele na chuya n mtihani kwao
  11. T

    Literacy Week - BOHUMATA

    asante tutakaribia lakin nadhan ntakuja baada ya UKUTA 2/9/2016
  12. T

    HELSB: Ufafanuzi kuhusu madai ya wasiokopa kudaiwa mikopo

    kiukweli hapo sheria ichukue mkondo wake wamepiga hela hao
Back
Top Bottom