Ni haw hawa mkuu walisema mnyika hatoboi ubunge tena hata kama kahamia kibamba lakini ukumbuke kibamba si lilikuwa jimbo la ubungo au? Si wananchi walewale ambao liwaongoza akiwa ubungo? Acha unafiki bro mi ni mkazi wa kibamba jamaa yuko poa tu hana shida ni mchapakazi labda cjui unayako binafsi...
Pole kaka/dada kama unasoma masters inamaana tayari unashahada au elimu yeyote inayoendana na hiyo, hebu jitafakari kwanza wakati unachukua maamuzi ya kuaply hukujua kama kuna gharama , za masomo? baada ya kumaliza shahada yako ulikuwa unajishughulisha na nini? kama unacho chakuanzia sema tujue...
kuna mambo watanzania si yakuyafanyia dhihaka mfano elimu ni moja ya hayo mambo sijui nchi hii inaenda wapi toa enzi za yule jamaa wa mafinga mr Mungai hadi leo mama Ndalichako ni aibu tupu mambo yamebadilishwa chungu nzima watanzania tupo kimya na wengine ni waathirika wa haya mi naona kuna...
Afadhar ya wewe unapitia hata madaftar ya mwanao na kujua wap kuna makosa wengine wapo humu hata hawajawah pitia madaftar ya watoto zao kumbuka msingi hujengwa toka chini HONGERA BABA UNAYE JUA MAJUKUMU YAKO
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.