Recent content by tunahamia dodoma

  1. tunahamia dodoma

    Ubunge Afrika Mashariki, CHADEMA hawapati kitu

    Kwa sababu wana fisadi papa wataifilisi nchi yetu.
  2. tunahamia dodoma

    Ubunge Afrika Mashariki, CHADEMA hawapati kitu

    Kwani Lowasa alikuwa ni mbunge wa miaka mingi kwa tiketi ya chama gani?
  3. tunahamia dodoma

    Kwaheri Mbowe katika CHADEMA

    Laana ya kumpoteza saa8 inawatesa sana mpaka mnang'ang'ania madaraka. Eti kisa ana urafiki na jamaa wa green mkaamua kumpoteza. Mungu anawaona.
  4. tunahamia dodoma

    Hivi CHADEMA kuna Demokrasia kweli? kama hakuna hata Mabadiliko ya Mwenyekiti!!!

    Umesikia uteuzi wa wagombea ubunge wa Bunge la Afrika masharika? Mbowe ameenda na jina la Masha na Wenje na kuwatangaza kuwa ndiyo watakaopitishwa na bunge. Hakuna wa kuhoji. Atakaehoji ni msaliti. Hiyo ingetokea ccm ungesikia povu la nyumbu wa cdm.
  5. tunahamia dodoma

    ATCL: Miezi minne tumekusanya bilioni 9, tumetumia 80% ya makusanyo kulipa madeni

    Akili yako imechanganyika na viloba. Nenda Muhimbili ukasafishwe huo ubongo wako. NB÷ una deni la Tshs 1000, kwa siku unapata au unakusanya Tshs 200 katika biashara yako na katika pesa hiyo unamlipa mdeni wako tshs 160 unasaliwa na Tshs 40. Hapo unaendesha biashara kwa hasara? Imebidi nikupe...
  6. tunahamia dodoma

    Uchaguzi ubunge Afrika mashariki yakithiri kwa Rushwa

    Vipi na hii ya cdm ya mwenyekiti taifa kuja na majina mawili mfukoni ambao ni Masha na Wenje na kuamua uchaguzi usifanyike unaiona ni demokrasi? Na yenyewe hii haina viashiria vya Rushwa? Na kwa uandishi huo wa mtoa mada huoni ni wa kuchafuana? Au huna sababu ya kuangaisha ubongo wako kwa...
  7. tunahamia dodoma

    Mwakyembe na Nape wakutana uwanja wa taifa , Nape ashangiliwa

    Kwani Mwakyembe anataka kushangiliwa? Mnajipendekeza kwake ili ahamie kwa oil chafu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  8. tunahamia dodoma

    Tuweni makini wakati wa kuwapa watoto majina

    Ndiyo ume umetoa comment hivyo
  9. tunahamia dodoma

    Jeshi la Polisi linahitaji ukarabati upya ili kupata afya mpya kiutendaji

    Mtoa pistal hakuwa askari polisi mkuu au hujasikia hiyo. Au wewe unaelewa kila alie na pistal ni askari polisi!!!
  10. tunahamia dodoma

    Watu wasiostahili kuweko CCM hawa hapa

    1. Mbona viongozi wenu wotebni wazee na hawataki kuachia madaraka? 2. Mbona mgombea u-jpm wenu ndiye aliekuwa mzee zaidi ya wagombea wote na amefikia kwa sasa anatembea na choo?
Back
Top Bottom