Recent content by Tumpara Dudu

  1. Tumpara Dudu

    Iran wanafanya kosa lile lile la kudhani Trump ni muoga baada ya kuongeza siku 5, Ayatollah na Maduro walimpuuza alipoongeza muda, kiko wapi?

    Mkuu Trump anaweza kupiga miundombinu ya umeme mda wowote akitaka lkn anahofia majibu ya Irani yatakwenda kuharibu uwekezaji wote wa Marekani kwenye sektaa ya nishati huko Mashariki ya kati. Marekani kawekeza pesa nyingi sana mashariki ya kati na Iran anajua Hilo na pia uchumi wa Dunia upo...
  2. Tumpara Dudu

    Machimbo ya bidhaa za buchani

    Habari za mda huu wakuu? Kama kichwa Cha habari kilivyoeleza hapo juu. Naomba kujulishwa MACHIMBO ya jumla ya bidhaa za BUCHANI mfano samaki,nyama,kuku wa kienyeji na broiler na
  3. Tumpara Dudu

    Mange Kimambi: FBI wamenitaarifu Serikali ya Tanzania imewapa kazi Mexican cartel waniue

    Umeulizwa swali unaleta mipasho. Kosa la Mange ni lipi? Halafu usiweke umoja kwenye hyo kauli yako. Siyo wote ni wanufaika wa wizi na ufisadi. Sisi wahanga tutaendelea kumsikiliza na kushauriana nae Cha kufanya na tutafanya kilichosahihi kwa nchi yetu. Wizi,ufisadi,utekaji na mauaji lazima...
  4. Tumpara Dudu

    The Voices From Within: Nimeelezwa Kufuatia Damu Nyingi Kumwagika, Hakutakuwepo Tena na Matukio ya Wasiojulikana!

    Mkuu,Heche kashaondoka na wasiojulikana hukoo. Hujapata habari?
  5. Tumpara Dudu

    Mange Kimambi: FBI wamenitaarifu Serikali ya Tanzania imewapa kazi Mexican cartel waniue

    Kosa la mange ni Nini? Amekuelezeni ufisadi wa viongozi wenu,ameona mkitoa maoni yenu mnatekwa,mnapotezwa na kuuawa,amekuhimizeni mdai haki zenu kwakua ameona mnakandamizwa. Wajibu wa serikali yenu haukua ni kushika bunduki na kukuueni Bali ulikuwa ni kukusikilizeni na kusuluhisha penye tatizo...
  6. Tumpara Dudu

    Uhamiaji wadai Heche amevuka mpaka wa Sirari kinyume na sheria

    Kwa maelezo haya huyu bwana ni Bora asirudi. Kuna jambo nahisi wamemuandalia akirudi
  7. Tumpara Dudu

    Hivi hamsomi mazingira? No way tutamuona akiwa live tena!

    Sasa mkuu amani yenyewe unayo? Unajua anaefatia kutekwa na kupotezwa ni Nan? VP kama ukiwa ni ww? Mm napenda amani ndomana nataka serikali ichukue hatua kukomesha utekaji na mauaji holela
  8. Tumpara Dudu

    GE2025 Ni kweli kwamba Tar 29-10 watu watatoka kweli?

    Hakuna wa kuandamana. Mtabaki kupiga kelele mtandaoni
  9. Tumpara Dudu

    Ratiba ya minada/gulio mikoani

    Ahsante kwa taarifa mkuu
  10. Tumpara Dudu

    Ratiba ya minada/gulio mikoani

    Ahsante mkuu. Nimekusudia mikoa ila touch si unazielewa mwenyewe zilivyo. Sasa mkuu Jumanne mnada unakuwa mtaa Gani? Mm ni mchuuzi wa nguo za mitumba za grade A. Nisaidie jina la mtaa kwa siku ya J4
  11. Tumpara Dudu

    Ratiba ya minada/gulio mikoani

    Wakuu,mm ni mfanyabiashara mdogo na biashara zangu Huwa mara nyingi natoa Dar napeleka Kijiji Cha Komkonga wilaya ya Handeni Mkoa wa Tanga. Sasa nataka kupanua soko nihamie mikoa mingine kwakua Komkonga Nina wateja wa oda wa uhakika. Naomba Kila mmoja wenu anisaidie ratiba ya MINADA ya Mkoba...
  12. Tumpara Dudu

    Kama Tunaamini kuhusu deep state basi Tusimlaumu Mama bali tumuhurumie, na Tumsaidie

    Kwa huu ushuzi uliouandika hapa, nashauri uteme mate kwa Afya yako Ili kujikinga na ugonjwa hatari wa kipindupindu
  13. Tumpara Dudu

    Tujadili kijasusi ya Captain Tesha

    Weka maana wanajukwaa wajifunze. Huu ni mjadala mpana. Weka unachojua
  14. Tumpara Dudu

    Tujadili kijasusi ya Captain Tesha

    Salaam kwenu Wana great thinker. Naomba niwashirikishe kwenye mijadala huu KIJASUSI zaidi kwasababu jamii forum ni hom of great thinkers,hatuchukulii jambo juu juu. Wakuu,Jana,sote tunatambua alijitokeza mtu aliyejitambulisha kama afisa wa JW mwenye cheo Cha captain kwa jina anaitwa TESHA...
Back
Top Bottom