Recent content by Tumbomoto

  1. T

    Katiba Mpya, Cha kutisha, Kusikitisha na Kushangaza!

    Ninaamini kwamba kila mtanzania anashauku na anangoja kwa hamu kukamilika na kutangazwa kwa katiba mpya. Kinachonishikitisha, kunitisha, kuniogopesha na kunishangaza ni kuona kwamba kati wa wataalamu na wasomi wote walioko hapa Tanzania, aliyeonekana kufaa kusimamia na kuendesha zoezi zima la...
  2. T

    Loo Maskini..hii ni Tanzania??

    Watoto matumbo nje, na Kikwete kazi kucheka tu tangu asubuhi hadi jioni! Wewe ni baba, wewe ni mama, Tanzania ni familia yako - watoto matumbo nje, hawatoi haja kubwa, hawakojoi, hawana pa kujisitiri mvua, wewe unajiita raisi! Kwanini mfanyakazi wa chama au serikali anayeishi Dar es salaamu...
  3. T

    Mwakyembe: Marufuku abiria Kuchimba dawa njiani

    Huyu waziri Mwakyembe ameishiwa sera, hivyo akaamua kuwa mpayukaji! Anatakiwa apelekwe shule na Mheshimiwa Mengi (wa IPP) kujifunza kwamba ili kutunza mazingira ni lazima kujenga mazingira. Mheshimiwa waziri, kama wachangiaje wengi walivyonena, kwa mshahara unaolipwa kama waziri, badala ya...
Back
Top Bottom