Recent content by Tumake

  1. T

    Serikali yatangaza viwango vipya vya alama za ufaulu elimu ya sekondari

    Hiyo ni movie inaendelea nimeangalia hizo data sikuamini kama kweli serikali inaweza kuamua kitu cha kuua elimu kiasi hicho!
  2. T

    Tamko la hakielimu kuhusu upangaji wa viwango vya alama

    Huu ni upepo utapita tu na viwango vilivyotangazwa vitatumika bila pingamizi lolote
  3. T

    Alama mpya za ufaulu zapingwa

    Nitarudisha vyeti vyangu NECTA ili nami matokeo yangu yapangwe kwa kutumia mfumo huo wa mseleleko
  4. T

    Mulugo: Division Five haipo na sifuri ipo palepale

    ni dhahiri kuwa wamekurukupuka kutangaza mambo kabla ya kuyajadili hata wao kwa wao. Sasa hao wadau ni nani
  5. T

    Mulugo: Division Five haipo na sifuri ipo palepale

    Duuuh, nimepitia hilo tangazo lao yaani eti kama wangetumia viwango hivyo vipya kwenye matokeo ya 2012 ufaulu ungepanda kutoka 43% hadi 93%.Ama kweli hii ni nchi ya miujiza ikizingatiwa kuwa hata hiyo 43% ilipatikana kwa njia ya mazingaombwe ambapo awali ilikuwa ufaulu wa 35%.. Ama kweli TZ...
  6. T

    Serikali yatangaza viwango vipya vya alama za ufaulu elimu ya sekondari

    Vituko vya elimu lazima mwaka huu vitaingizwa kwenye maajabu ya dunia nashindwa kuelewa hao wanaopanga madudu ya namna hiyo wanatumia ubongo au vichwani kwao kuna nini?
  7. T

    Educator quits Pinda’s team in protest of ‘new’ F4 results

    Big up rakesh uliona mbali hukukubali kudhalilisha taaluma yako kwa kufanya kazi chini ya uenyekiti wa prof asiyejua lolote kuhusu elimu. Nchi hii bwana! Maprofesa wote wa elimu wanaonekana hawafai hadi mwanasheria ndiyo anakuwa mtendaji mkuu kwenye elimu? Tuna kazi kubwa ya kufanya ili taifa...
  8. T

    Mchome ni Mungai mwingine

    Alichofanya Mchome na Bhalalusesa kutangaza huo UPUUZI inaonesha jinsi gani kuwa na elimu kubwa haina maana kuwa una maarifa na busara ya kupambanua lipi linafaa na lipi halilifai. Ni aibu sana kwa taifa. Naona Mungai ni afadhali kuliko Mchome, ukiangalia Maprofesa ndiyo wanaleta sera za...
  9. T

    Serikali yatangaza viwango vipya vya alama za ufaulu elimu ya sekondari

    Nami nasema Bravo sana Prof Mchome na Prof Bhalalusesa maana tuna uhakika wa watoto wetu wote watakaongia kwenye chumba cha mtihani kuwa watakuwa tayari wameshafaulu kwa hata alama 0 yaani 0-19 inaonesha UFAULU dhaifu sana. Cha msingi ni kuwa hata kama mwanafunzi akipata alama 0 maprofesa...
  10. T

    Serikali yatangaza viwango vipya vya alama za ufaulu elimu ya sekondari

    MKUU KUWEKA MAMBO WAZI NI KUWA HAYO NI MATUNDA YA KAZI YA VIGOGO WAFUATATO WA WIZARA YA ELIMU. 1. DR. SHUKURU KAWAMBWA - WAZIRI WA ELIMU 2. PHILIPO MULUGO - NAIBU WAZIRI WA ELIMU 3. PROF. SIFUNI MCHOME - KATIBU MKUU 4. PROF BHALALUSESA - KAMISHNA WA ELIMU. Hao ndiyo wametufikisha hapa...
  11. T

    Saini zakusanywa kumng’oa Makinda

    Waacheni wafu wazikane, mara wanajisema wamekithiri kwa rushwa mara wanakanyaga kanuni, mhhhh!
  12. T

    KAWAMBWA: Lukuvi alilidanganya Bunge kuhusu Matokeo ya Kidato cha nne 2012 Yaliyofutwa

    Mkuu utabiri wako umetimia Movie inaendelea sasa kila mtu anafaulu ila tu mwingine inaridhisha mwingine anafaulu hafifu. Zombi mwaka huu watapeta sana. HA HA HA HA, KILIO CHA WANANCHI KIMESIKIKA. MNATAKA WAPEWE 0 ILI WAJINYONGE! HAPANA BWANA HAO WAKO JUU SANA DARAJA LA V
  13. T

    Kwenu Kinana na Nape - Tuelezeni haya

    Udhaifu wa Mulugo na Kawambwa ni mtaji kwa vyama vya upinzani. Kama wataendelea kuwepo hadi 2015, watapaisha sana kura za wapinzami. Huhitaji kujua kusoma na kuandika ili uweze kung'amua udhaifu uliokithiri wa uongozi katika elimu
  14. T

    Je, una hoja ya msingi ya kumkubali au kumkataa Zitto Kabwe?

    Kumkubali au kumkataa!!!! THE DIFFERENCE IS THE SAME
  15. T

    Wabunge wachukue hatua dhidi ya Waziri wa Elimu, anaua nchi!

    Well said Mkuu, uozo ni mkubwa hata grease haiwezi kuondoa kutu za Wizara ya Elimu
Back
Top Bottom