Recent content by Tumainiandy

  1. Tumainiandy

    Nina Mgogoro kwenye ndoa, kila pesa anayopata Mke wangu anaenda kujenga kwao. Naomba msaada

    Huu hajafika kiwango cha kuitwa mgogoro ila ni mitazamo na kama Mwanaume umeshidwa kuongoza vyema sasa jifunze darasa la uongozi wa ndoa halafu rudi kuongoza familia. Jua resources ulizonazo na unazoweza kuwa nazo zigawanye sawasawa. Muonyeshe uongozi naye atafuata
  2. Tumainiandy

    Jinsi ya kuandika Tangazo lako la biashara mtandaoni

    Mtandao ndipo watu wanaelekea ila kuna kitu cha kufanya affiliating marketing uko hela ni ndogo ila ukikomaa unaweza kutoboza clickhttp://bit.ly/3ZhCuC1
  3. Tumainiandy

    Njia ambazo mtu anaweza kutengeneza pesa mtandaoni bila mtaji

    Affliated marketing ina shughuli zake ila zipo nyinigi ila itafute ile ya cpa grip google unaweza kupata hela ya mboga anzia na link hii hapa http://bit.ly/3ZhCuC1
  4. Tumainiandy

    Tunauza mbuzi na kondoo wa nyama na kufuga

    Usafiri unapatikana kwa wewe kuulipia ila katika biashara ambayo unatakiwa kumuona mnyama ni hii hapa ndio unamchukua inapendeza zaidi hvyo
  5. Tumainiandy

    Tunauza mbuzi na kondoo wa nyama na kufuga

    Mbuzi na kondoo bado wapo karibu
  6. Tumainiandy

    Kumbukizi muhimu ya mwanariadha John Steven Akhwari

    kwa hiy huyu Shujaa anapatikana babati ningependa kuonana naye. Hii ni moja ya tunu za taifa yaani ukienda nje ya nchi somo lolote la Perseverance ( yaani kuvumilia mpaka mwisho) mzee ni mfano hai unaotumwa kuwa jinsi gani binadamu anaweza kushinda vipigamizi na uzuri kuna video
  7. Tumainiandy

    Tunauza mbuzi na kondoo wa nyama na kufuga

    Mbuzi wazuri kwa ajili ya nyama na kufuga wanapatikana kwa bei ya Tshs 130,000/ mpaka 200,000/ Kutegemeana na ukubwa tupigie 0713-318771.
  8. Tumainiandy

    Tunauza mbuzi na kondoo wa nyama na kufuga

    Imeshatolewa na mabadiliko yake huenda yatakuwa Tshs 120,000 mpaka 220,000/
  9. Tumainiandy

    Tunauza mbuzi na kondoo wa nyama na kufuga

    Karibuni bei za offa kwa ajili ya sikukuu
  10. Tumainiandy

    Tunauza mbuzi na kondoo wa nyama na kufuga

    Bei elekezi ni 120,000 mpaka 200,000/ inategemeana na ukubwa mkuu. Karibu
  11. Tumainiandy

    Tunauza mbuzi na kondoo wa nyama na kufuga

    Mbuzi wetu wapo wa aina mbalimbali wadogo na wakubwa na vilevile hula majani na vimiti ambavyo vinafanya nyama yake iwe na virutubisho muhimu kwa afya yako.
  12. Tumainiandy

    Tunauza mbuzi na kondoo wa nyama na kufuga

    Ukiwa na tatizo la gout usilpendelee kula nyama nyekundu yeyote. Tatizo hili haswa huletwa zaidi na uwezo wa mwili usipokuwa na uwezo mzuri wa kuchuja sumu, uzito mkubwa na unywaji wa pombe. so ukiwa kwenye hayo matatizo ni vyema kuepuka nyama nyekundu. Na kama unakula nyama nyekudu Nyama ya...
Back
Top Bottom