Recent content by Tumainiandy

  1. Tumainiandy

    JamiiForums Tanzania Tunauza, tunachanganya na kufanya peleti vyakula vya mifugo

    Kwa sawa kwa kilo 100 ni tshs 5000
  2. Tumainiandy

    JamiiForums Tanzania Tunauza, tunachanganya na kufanya peleti vyakula vya mifugo

    CHAKULA CHAKO • FORMULA YAKO • BRAND YAKO • SISI TUNACHANGANYA NA KUPELLETIZE. FRANA7WAYS FEEDS inakupa huduma ya kuchanganya na kutengeneza pellets (Punje) kwa kutumia malighafi na formula yako. Tunatengeneza chakula kwa ajili ya: 🐔 Kuku — Broiler, Layers na Chicks 🐖 Nguruwe 🐟 Samaki 🐄...
  3. Tumainiandy

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu na Serikali tunaomba msaada wenu wananchi wa Kimbiji, Kijaka na Somangila Kigamboni tunateswa sana na Ardhi yetu Halali

    Serikali yetu ni sikivu hakikisheni inamfikia mwenyewe Mh Majaliwa ua Mama kabisa
  4. Tumainiandy

    JamiiForums Tanzania Nina Mgogoro kwenye ndoa, kila pesa anayopata Mke wangu anaenda kujenga kwao. Naomba msaada

    Huu hajafika kiwango cha kuitwa mgogoro ila ni mitazamo na kama Mwanaume umeshidwa kuongoza vyema sasa jifunze darasa la uongozi wa ndoa halafu rudi kuongoza familia. Jua resources ulizonazo na unazoweza kuwa nazo zigawanye sawasawa. Muonyeshe uongozi naye atafuata
  5. Tumainiandy

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kuandika Tangazo lako la biashara mtandaoni

    Mtandao ndipo watu wanaelekea ila kuna kitu cha kufanya affiliating marketing uko hela ni ndogo ila ukikomaa unaweza kutoboza clickhttp://bit.ly/3ZhCuC1
  6. Tumainiandy

    JamiiForums Tanzania Njia ambazo mtu anaweza kutengeneza pesa mtandaoni bila mtaji

    Affliated marketing ina shughuli zake ila zipo nyinigi ila itafute ile ya cpa grip google unaweza kupata hela ya mboga anzia na link hii hapa http://bit.ly/3ZhCuC1
  7. Tumainiandy

    JamiiForums Tanzania Tunauza mbuzi na kondoo wa nyama na kufuga

    Usafiri unapatikana kwa wewe kuulipia ila katika biashara ambayo unatakiwa kumuona mnyama ni hii hapa ndio unamchukua inapendeza zaidi hvyo
  8. Tumainiandy

    JamiiForums Tanzania Tunauza mbuzi na kondoo wa nyama na kufuga

    Mbuzi na kondoo bado wapo karibu
  9. Tumainiandy

    JamiiForums Tanzania Kumbukizi muhimu ya mwanariadha John Steven Akhwari

    kwa hiy huyu Shujaa anapatikana babati ningependa kuonana naye. Hii ni moja ya tunu za taifa yaani ukienda nje ya nchi somo lolote la Perseverance ( yaani kuvumilia mpaka mwisho) mzee ni mfano hai unaotumwa kuwa jinsi gani binadamu anaweza kushinda vipigamizi na uzuri kuna video
  10. Tumainiandy

    JamiiForums Tanzania Tunauza mbuzi na kondoo wa nyama na kufuga

    KARIBU MKUU
  11. Tumainiandy

    JamiiForums Tanzania Tunauza mbuzi na kondoo wa nyama na kufuga

    Mbuzi wazuri kwa ajili ya nyama na kufuga wanapatikana kwa bei ya Tshs 130,000/ mpaka 200,000/ Kutegemeana na ukubwa tupigie 0713-318771.
  12. Tumainiandy

    JamiiForums Tanzania Tunauza mbuzi na kondoo wa nyama na kufuga

    Imeshatolewa na mabadiliko yake huenda yatakuwa Tshs 120,000 mpaka 220,000/
  13. Tumainiandy

    JamiiForums Tanzania Tunauza mbuzi na kondoo wa nyama na kufuga

    Karibuni bei za offa kwa ajili ya sikukuu
  14. Tumainiandy

    JamiiForums Tanzania Tunauza mbuzi na kondoo wa nyama na kufuga

    Bei elekezi ni 120,000 mpaka 200,000/ inategemeana na ukubwa mkuu. Karibu
Back
Top Bottom