Recent content by Tum4

  1. Tum4

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Kuku wangu wamechelewa kutaga

    Hii jogoo imesha balehe kitambo sana coz nimenunua kwa mtu Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Tum4

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Kuku wangu wamechelewa kutaga

    Wakuu kuku wangu hawa wa asili nimewanunua muda mrefu kweli lakini hawatagi wana tetea tu muda wote lakini kutaga hawatagi sijajua tatizo ni nini naombeni ushauri wenu tafadhali. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Tum4

    JamiiForums Tanzania Ukisoma chuo cha diploma private utaweza kuchaguliwa chuo kikuu?

    Je vp kuhusu swala la mkopo Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Tum4

    JamiiForums Tanzania Ukisoma chuo cha diploma private utaweza kuchaguliwa chuo kikuu?

    Hivi ukisomea private diploma, je kuna uwezekano wa kuchaguliwa chuo kikuu baada ya kumaliza mafunzo. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Tum4

    JamiiForums Tanzania Naombeni mnisaidie mawazo yenu kuhusu application NECTA

    Nimepitia application znazofanyika nacte nimekuta ile sehem yakujaza namba ya mtihani wameweka option mbili tu namba ya kama school candidate na namba ya kama private candidate. Swali langu nikua kama mimi ninavyo vyet viwili au kwamaana nyingine mimi nimeresit nikapatiwa chet kwahyo vtakua...
  6. Tum4

    JamiiForums Tanzania Ushauri wanajamvi; je nikirisiti naweza nikachaguliwa?

    Nimehim mati bujora kipo mwanza cha private na nimeomba mati Tumbi kipo tabora nikakosa Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Tum4

    JamiiForums Tanzania Ushauri wanajamvi; je nikirisiti naweza nikachaguliwa?

    Kuhusu mda kwangu cyo tatzo coz bado kijana mdogo sana sins halaka yakwenda Chuo Kikuu kwan ndokwanza nafikisha miaka 20 mwaka huu, ila mkuu nukuulize kuna uwezekano angalau wakupata c katika kuresit kama upo serious kabisa sababu nataka kutenga mwaka mzima kwaajili yakuresit tuu Sent using...
  8. Tum4

    JamiiForums Tanzania Ushauri wanajamvi; je nikirisiti naweza nikachaguliwa?

    Lakini mkuu mimi nimesoma agriculture private nilikua namasomo mawili tu ya science mwanzo nilifanya application serikalini nikakose kwakua nilikua sina vigezo wao serikalini walikua wanataka d nne za masomo ya science na mm nilikua Nazi mbili nikaamua kwenda private sasa nataka kuresit ili...
  9. Tum4

    JamiiForums Tanzania Ushauri wanajamvi; je nikirisiti naweza nikachaguliwa?

    Cjajua mkuu wenada nikuulize wewe Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Tum4

    JamiiForums Tanzania Ushauri wanajamvi; je nikirisiti naweza nikachaguliwa?

    Nimemaliza mwak juzi certificate nikatuma maombi mwaka jana lakin sikuchaguliwa Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Tum4

    JamiiForums Tanzania Ushauri wanajamvi; je nikirisiti naweza nikachaguliwa?

    Nataka niende nikarisiti cheti cha form four ila nimesha maliza certificate ya agriculture nimetuma maombi yakwenda diploma sijachaguliwa sababu sijafaulu mathematics katka chet changu je nikirisiti naweza nikachaguliwa? Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Tum4

    JamiiForums Tanzania Huu niugonjwa gani wakuu naomben mnijuze

    Singida,manyoni, heka Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Tum4

    JamiiForums Tanzania Vifaranga vyangu vyaniliza

    Kama wanashusha mabawa hyo in cocsidiosis waangalie vizur kinyesi chao kama kuna dam dam alaf unambie nikuelekeze dawa za kuwapatia Sent using Jamii Forums mobile app
  14. Tum4

    JamiiForums Tanzania Ushauri wenu wakuu katika viota vyangu

    Naomben mnishauri wakuu kwa hivi viota vyangu vipya Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom