shemahenga
Senior Member
- Jun 28, 2015
- 130
- 51
naomba msaada jamani vifaranga vyangu vinakunja na kishusha koti baada ya wiki mbili na kufa.Nafanyaje au niwanyanganye mama yao
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Wepe vitacox high dose.pia uwe makin sehemu unayonunua hao vifaranga hatchery inatotoresha mayai yenye salmonellanaomba msaada jamani vifaranga vyangu vinakunja na kishusha koti baada ya wiki mbili na kufa.Nafanyaje au niwanyanganye mama yao
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu uwape chanjo zote kuna mtiririko wachanjo kutoka 1day old chick hadi adult kama utahitaji ntatupia.pia maranyingi Marek's disease inasumbua sana viarana wadogo so inaweza ikawa ndiye.naomba msaada jamani vifaranga vyangu vinakunja na kishusha koti baada ya wiki mbili na kufa.Nafanyaje au niwanyanganye mama yao
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu uwape chanjo zote kuna mtiririko wachanjo kutoka 1day old chick hadi adult kama utahitaji ntatupia.pia maranyingi Marek's disease inasumbua sana viarana wadogo so inaweza ikawa ndiye.
Thank u
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitumie nduguMkuu uwape chanjo zote kuna mtiririko wachanjo kutoka 1day old chick hadi adult kama utahitaji ntatupia.pia maranyingi Marek's disease inasumbua sana viarana wadogo so inaweza ikawa ndiye.
Thank u
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitafanya hivyoMkuu hiyo sehemu unayo walaza inapitisha baridi cha kufanya tafuta box uwe unawatumbukiza humo hilo tatizo litakwisha.
-Ndumilakuwili-
DaaahMKUU WAPE ARVs kama vipi na majira..
Mkuu tupia basiMkuu uwape chanjo zote kuna mtiririko wachanjo kutoka 1day old chick hadi adult kama utahitaji ntatupia.pia maranyingi Marek's disease inasumbua sana viarana wadogo so inaweza ikawa ndiye.
Thank u
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama wanashusha mabawa hyo in cocsidiosis waangalie vizur kinyesi chao kama kuna dam dam alaf unambie nikuelekeze dawa za kuwapatianaomba msaada jamani vifaranga vyangu vinakunja na kishusha koti baada ya wiki mbili na kufa.Nafanyaje au niwanyanganye mama yao
Sent using Jamii Forums mobile app