Tum4
Member
- Jul 15, 2017
- 36
- 2
Nimepitia application znazofanyika nacte nimekuta ile sehem yakujaza namba ya mtihani wameweka option mbili tu namba ya kama school candidate na namba ya kama private candidate.
Swali langu nikua kama mimi ninavyo vyet viwili au kwamaana nyingine mimi nimeresit nikapatiwa chet kwahyo vtakua viwil kile cha kama school canddte na kile cha private candidate sasa ntawezaje kuingiza namba zote mbili
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali langu nikua kama mimi ninavyo vyet viwili au kwamaana nyingine mimi nimeresit nikapatiwa chet kwahyo vtakua viwil kile cha kama school canddte na kile cha private candidate sasa ntawezaje kuingiza namba zote mbili
Sent using Jamii Forums mobile app