Kwakweli.inasikitisha sana Mola aepushie mbali jana hili na awashushie laana wote waliohusika kusukuma agenda hii kwa kujua kabisa kuwa ni kuangamiza taifa.
Nyie ndio mnauaga watoto kwa mahasira yenu ya kipuuzi. Mtoto anafundishwa na kuelekezwa sio kupigwa na kukatwa kichwa. Huko kulia ndio utoto wenyewe shaona mtu mzima analoa kama kengele?
Mkuu mkadiriajimajenzi uliishi survey kwa miaka.minne na sasa unapata utelezi kuishi kigamboni toka 2015. Unaongea kama unazungumzia nafsi yangu,, maana na mimi niliishi survey pia nikahamia kigamboni ingawa nako nilihama na sasa niko mkoani Iringa.
Mkuu watu watakuoinga ingawa ukweli ndio huo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.