watu wengine bwana!so mtu akihama chama asiongee nawatu toka chama kingine?,udhaifu wakisiasa huo,nlichogundua jf humu wa2wana mabifu yakisiasa,ukibaraka wenu mwishowe mnageuka mafisadi yakutupwa
wakati mwingine inaboa namasiasa yenu au ndio mmetumwa?kwawenye ufahamu tumeshajua kura tutampa nani kutoka chama....,wengine mlisema kurazetu hamtaki unadhani tumesahau mtakiona 15
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.