Recent content by tulige

  1. T

    Kwa sababu zilezile za Ndolanga: Sioni uwezekano wa Ally Mayai kuchaguliwa:

    Mayay amefanya vizur kujitokeza sasa kitu ambacho kitampa uzoefu ili uchaguzi mwingine atakuwa mikakati murua zaidi
  2. T

    kufuatia vurugurugu mjengoni

    mm binafsi ni muumin wa ustaarabu, pia kufuata taratibu tulizojiwekea, bunge lina kanuni ambazo kila mbuge ni shurti aziheshimu, leo nilikuwa naangalia bunge la Kenya wakati wanajadili suala la kenya kujitoa katika mkataba wa Roma ulioanzisha ICC ambapo nimeona wabunge wote yaani chama tawala na...
  3. T

    Bukoba: Waziri Kagasheki asoma maoni ya wana JF jukwaani, adai ni uongo!

    hapa la kupinga maamuzi ya manispaa ya bukoba hadharani wakati naye ni mjumbe katika full council nu uzushi wa wabongo. manispaa inaongozwa na madiwani wa ccm sasa na mipango yote imepitishwa katika vikao na madiwani hao hao haya kumchonga amani na kupinga kuboeshwa kwa soko na kupima viwanja...
Back
Top Bottom