Application fee for broker licence imeandikwa Tsh 50,000 na sio dola pia licence fee ni Tsh 200,000 na sio dola. Sasa hiyo dola 125 inatoka wapi. Lakini hukatazwi kama unaweza kubadili dola zako zikawa shilingi na ukalipa. Nakushauri kata leseni uwe huru bro. Haiwezekani mama ntilie,wenye maduka...
Huo ni uongo tena uliopitiliza , wanalipa hapahapa kwa kutumia kadi kama wengine tu, watu mpo negative kupitiliza .sie tunaoenda mara kwa mara huko tunaona wanalipa chakula vinywaji na malazi na wananunua vinyago n.k
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.