Tatizo sio benk zetu bali ni bot, kwasa wanajidai wana skili sana, lakini washindwa kuona idadi ya mabenki inaongezeka lakini watumiaji wanapungua!!!! Kila zali wapo!!!@ lakini wanapeta tu. Kama bot habadiliki wanaoweka akiba na wanaotaka kukopo wataendelea kulalama
Mkakati wa nini wao ni civil servants wanatakiwa kufika kazini saa moja na nusu kama hafika muda huo futa kazi baba wataifa akitumia watu wa darasa la pili kuendesha nchi. Watanzania lazima tuheshimu kazi rushwa ndio imetufikisha hapa tulipo
Wafanyakazi wa makampuni binafsi, mabenki , bot wote wanajaa st. Joseph na azania front kuanzia saa kumi na mbili wengine wanasoma magazeti kwenye vibanda. Ili mabadiliko yatokee inabidi ngazi za juu washughulike na mambo hata tunayodhani ni madogo.
Lema has expired hivi ana sgenda gani. Wana arusha election is over hamtaki uwaziri au mnataka maandamano.
Ngoma imeondoka mtaisoma namba. If I was a resident of arusha I will not vote for lema as he has nothing to deliver. In pollitics no friendship is permanent tosa lema
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.