Recent content by Tukuza hospitality

  1. Tukuza hospitality

    JamiiForums Tanzania Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) yatangaza kuifungia JamiiForums

    Ina maana hatutaweza kupata habari za JF?
  2. Tukuza hospitality

    JamiiForums Tanzania TKZ2025: FURSA ZA AJIRA

    Kampuni ya TUKUZA (Tuenzi na Kutunza Rasilimali Zetu Adimu), inahusika na uchakataji na usambazaji wa bidhaa mbalimbali za chakula, vipodozi asili, na kuendesha MAFUNZO mbalimbali. Kampuni imefanya kazi hizi toka mwaka 2014 hapa nchini Tanzania. Bidhaa zetu zina ubora wa hali juu na zinafanya...
  3. Tukuza hospitality

    JamiiForums Tanzania Umuhimu wa kunywa maji

    Na Constantine J. S. Mauki March 2025 Utangulizi Asilimia 60 ya mwili wa binadamu ni maji. Ila kwa mtoto mchanga asilimia 80 ya mwili wake ni maji. Kiwango hiki cha maji hupungua kadri ukuaji wa mtoto unavyoendelea; na hatimaye hufikia asilimia 60, ambayo ndio wastani kwa watu...
  4. Tukuza hospitality

    JamiiForums Tanzania Helkopta zitumike kuwatoa wageni uwanja wa ndege, ili barabara zisifungwe

    Wageni wa Kimataifa Wasifunge barabara jijini Dar. Hivi karibuni tumekuwa na neema ya kupata wageni, wakuu wa nchi za Afrika jijini Dar kwa ajili ya mikutano. Helkopta zitumike kuwatoa wageni uwanja wa ndege. Tusifunge barabara! Au mikutano hii ifanyike jijini Arusha.
  5. Tukuza hospitality

    JamiiForums Tanzania LBL: Pyramid Scheme Inayowatapeli Watu kwa Kisingizio cha Uwekezaji

    Wajanja wanaowahi wanakula pesa. Ukitaka kufanikiwa usiogope kupoteza. Kipi Bora, kubeti au hii pyramid? Muhimu kufanya uchaguzi juu ya uhalali wa hii fursa na kufanya maamuzi sahihi, badala kukurupuka na kusema huu ni utapeli!!
  6. Tukuza hospitality

    JamiiForums Tanzania TKZ 2025: HESHIMA kwa Wazazi ni Lazima na Muhimu katika Maisha yako

    Kwa muda mrefu, nimekuwa natafakari juu ya tabia za watu (kama kiburi, uvivu, ulevi, wizi na kila aina ya utovu wa nidhamu) na athari zake katika familia zao na hata kwa Jamii, nikagundua kwamba mtu mwenye mafanikio ni yule anayewaheshimu Wazazi wake. Mtu anayewaheshimu Wazazi wake, haishii...
  7. Tukuza hospitality

    JamiiForums Tanzania Marekani: Biden amwita Kamala "Makamu wa Rais Trump, Zelensky "Rais Putin"

    Ni kweli, ameshatimiza ndoto yake ya miaka mingi ya kuwa raisi wa Marekani. Sasa akubali kumuachia mgombea mwingine. Aige mfano wa Nelson Mandela wa Afrika Kusini, ambaye alitawala kipindi kimoja tu cha miaka 5, akamwachia kijiti Thabo Mbeki. Lakini amesalia kuwa raisi Bora duniani!!
  8. Tukuza hospitality

    JamiiForums Tanzania SoC04 Watanzania wanaweza kuwa wawekezaji wakubwa wa rasilimali asili ndani ya nchi yao

    Tatizo lililopo hasa katika nchi zinazoendelea, viongozi waliopo madarakani wanafurahia mifumo iliyoachwa na watawala wa kikoloni. Hii ni mifumo ya watu wachache kuhodhi madaraka makubwa na kuamua hatma ya watu wote katika mikoa, wilaya na hata vijiji ambako kuna kuna viongozi pia.
  9. Tukuza hospitality

    JamiiForums Tanzania SoC04 Deni la Taifa, Tanzania Linaweza Kupungua Endapo Mifumo ya Maendeleo Itafanyiwa Mageuzi

    Mwaka 1990, na kuendelea serikali ilianza kupunguza watumishi wa umma, wakati huohuo ikisitisha ajira mpya, ikiwa ni pamoja na waalimu na watumishi wa afya (ambao hawajawahi kutosha); hii ilifuatiwa na kufungwa kwa baadhi ya vyuo vya umma vya kati, vikiwemo vya afya, kilimo na ualimu. Huu...
  10. Tukuza hospitality

    JamiiForums Tanzania SoC04 Tiba Asili na Mbadala Ijumuishwe katika Mfumo wa Afya Kikamilifu, Ili kuboresha Afya ya Watanzania

    Kampeni ya matumizi ya nishati safi, itachangia kuboreka kwa hali ya rasilimali asili, ambazo ni muhimu kwa upatikanaji wa uhakika wa tiba asili na mbadala!
  11. Tukuza hospitality

    JamiiForums Tanzania SoC04 Maradhi yasiyoambukiza yanaweza kupungua na kuokoa mamilioni ya fedha za Serikali

    Kuna baadhi ya watu wanamiliki maradhi! Utasikia MTU anasema, hii ni presha yangu, naishi nayo. Kumbe angeweza kuidhibiti na kuitokomeza kabisa kwa kubadili tabia.
  12. Tukuza hospitality

    JamiiForums Tanzania SoC04 Mashine za EFD Zitolewe BURE kwa Wafanyabiashara Ili Iongeze Wigo wa Walipa Kodi

    Kwa mtizamo wangu, wafanya biashara wote wapewe machine hizi bure, kwani kazi ya mashine hizi ni kusaidia kukusanya kodi, na hili ni jukumu la serikali kupitia TRA.
  13. Tukuza hospitality

    JamiiForums Tanzania SoC04 Mikopo kwa wanafunzi wa vyuo vya kati na vyuo vikuu itolewe kwa wote watakaoomba

    Serikali kuu igatue jukumu la kugharamia elimu, kwa serikali za mitaa, taasisi mbalimbali (za umma na binafsi). Kabla ya Uhuru vyama vya ushirika viligharamia elimu ya watoto wa wanachama wao kuanzia msingi hadi vyuo vikuu! Jambo hili linawezekana hata Leo.
  14. Tukuza hospitality

    JamiiForums Tanzania SoC04 Nishati Safi ya Kupikia Iwe Dhana Mtambuka kwa Idara zote za Serikali

    Maisha ya kila siku yanatemea nishati. Uwekezaji katika nishati safi ni fursa kubwa ya kufikia maendeleo makubwa kiafya, kiuchumi na kijamii.
Back
Top Bottom