Mkuu naomba mtajie hiyo hospital ya bure ili dada kesho akaanze clinic mbona unapenda sana kubishana mkuu wakati ss tunakwambia uhalisia wa maisha jinsi yalivyo huku kwa ground.
Ndio namhudumia mm mkuu amemaliza chuo mwaka juzi lakini hakupata ajira ila mwaka huu akapewa mimba na huyo mchumba wake waliokutana chuoni SUA na wote bado hawajaajiriwa kwa hiyo dogo nikamleta dar aje kujisikilizia mpaka ajifungue na kazi/biashara aliyokuwa anaifanya yy mkoani Lindi ya kuuza...
Ww ukitoka vikundi panda gari za mbagala ambazo zinatoka mkuranga au kisemvule halafu shuka mbagala rangi tatu hapo utapanda gari za chamazi nauli yake ni mia tano tu halafu shuka zebra ya chamazi hospital gari hapo huwa linasimama kwa ajili ya wanafunzi na wagonjwa kuvuka barabara.
Mkuu naomba uongee uhalisia acha kumpotosha dada hapa hakuna hospital ya bure kuanza clinic na kama ipo basi naomba muelekeze dada yetu ili aweze kuanza clinic maana amechelewa sana kuanza miezi mitano ni mingi sana labda kama ni mimba yake ya pili au tatu labda atakuwa na uzoefu kidogo lakini...
Ndio hvyo kaka.mm nakaa na mdogo wangu alianza clinic nilimpa elfu 40 baada ya hapo nikawa nampa elfu kumi kila mwezi akienda clinic ila kipindi cha Magufuli mke wangu alianza clinic bure kabisa mimba zake zote mbili.
Njoo chamazi~mbagala na elfu 40 hata bila mwenza watakusaidia tu ila waambie tu mwenzangu yupo nje ya nchi atachelewa kurudi.Hiyo elfu 40 shilingi elfu kumi kwa ajili ya utra sound,hela nyingine kipimo cha damu(HB) pia watakupima na homa ya ini sasa hivi ni lazima upime homa ya ini kwa mama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.