Na Andrew Chale, Dar es Salaam.
WAFANYAKAZI zaidi ya 200, Waliokuwa wakifanyakazi katika kampuni ya New Habari (2006) Ltd, wametoa siku 14 kwa Mmiliki wa Kampuni hiyo, Mfanyabiashara na Bilionea Rostam Aziz awe amepeleka fedha za mafao katika mifuko ya Hifadhi ya Jamii ikiwemo NSSF na PSSSF...
Habari za asubuhi wapendwa?
Next week nina safari ya kwenda Mwanza, Sasa kwa wenyeji wa Maeneo ya Nyegezi naomba mniambie sehemu nzuri ya kulala (Lodge), ya bei 20k - 25k lakini pawe na huduma za msosi na vinywaji.
Itapendeza nikipata Mawasiliano pia.
Na Mwandishi wetu, Dar
Kampuni inayozalisha taulo za kike ya Human Cherish (HQ), Desemba 8, 2021 ilifanya Mkutano na waandishi wa habari kwa lengo la kutangaza uboreshaji wa huduma za kampuni hiyo,Sambamba na kugawa bidhaa hizo kwa waandishi waliokuepo katika Mkutano huo.
Katika hali ya...
Wadau wa JF naomba kuhulizia Lodge / Gest house nzuri ambayo inapatikana Maeneo ya Nyegezi au karibia hayo maeneo ni ipi?? Ambayo bei zake ni nafuu
Msaada tafadhali itapendeza ukinitajia jina na mawasiliano tafadhali.
Wadau walia kila kona vifurushi kupanda maradufu tena kimya kimya
👉 Tasnia ya habari Mitandaoni, elimu, Dini, Burudani waathirika pakubwa
Kutokana na kupanda maradufu kwa bei za vifurushi vya interneti nchini, huku GB 1 ya Data ikipatikana kwa zaidi ya dola 1.3 kumesababisha kupungua kwa kasi...
📍 Wadau walia kila kona vifurushi kupanda maradufu tena kimya kimya
👉 Tasnia ya habari Mitandaoni, elimu, Dini, Burudani waathirika pakubwa
Kutokana na kupanda maradufu kwa bei za vifurushi vya interneti nchini, huku GB 1 ya Data ikipatikana kwa zaidi ya dola 1.3 kumesababisha kupungua kwa...
Wadau hivi hapa Bongo unaweza kutoa fedha kupitia ATM kwa kutumia Card za bank za nje ya nchi ? Na kiwango cha mwisho cha kutoa ni tsh ngapi kwenye ATM mashine kwa siku?
HELLOW NAOMA MAJINA 10.. YA KITOFAUTI YANAYOWEZA KUKAA KWENYE GAZETI LINALODEAL NA MICHEZO
NAMANISHA JINA LA GAZETI LANGU LIITWEJE ....LETE MAWAZO YA MAJINA HAPA
NDOTO YANGU NI KUWA CUSTOMER CARE SERVICES KATIKA KAMPUNI ILA SIJAJUA NI KOZI IPI ITANIFAA MAANA NINA ADVANCED CERT, YA MASS COMMUNICATION & JOURNALISM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.