Recent content by Tua Ngoma

  1. Tua Ngoma

    JamiiForums Tanzania UMRI WA MIAKA 28 tayar mtu amekua msemaji wa white house na ameomba kuacha nafasi hiyo je TANZANIA chini ya 30 unaweza kua DIWANI?

    Vijana wengi waliaminiwa na CHADEMA na kupewa nafasi nyingi za kugombea ubunge na wakawa wabunge, CHADEMA ingekuwa chama tawala wangekuwa mawaziri. Silinde,Mnyika,Nassari,Mdee,Zitto,Heche na madogo kabisa kama Pambalu. Na ndiyo angalau wakasababisha CCM Ione kama vijana wanaweza.
  2. Tua Ngoma

    JamiiForums Tanzania Rais Samia akutana na Viongozi wa TEC - Ikulu, Chamwino

    Ikulu ni ya TEC,Kwa hiyo Samia kaalikwa.
  3. Tua Ngoma

    JamiiForums Tanzania Rais Samia akutana na Viongozi wa TEC - Ikulu, Chamwino

    Sawa.
  4. Tua Ngoma

    JamiiForums Tanzania Lissu: Sikuwaambia watu wachome na kuchana kura

    Hii takataka nilitamani isijibiwe na mtu,Ina uwezo mdogo sanaa wa akili
  5. Tua Ngoma

    JamiiForums Tanzania Rais Samia akutana na Viongozi wa TEC - Ikulu, Chamwino

    Platinum member!! Ahahaha just ahahah
  6. Tua Ngoma

    JamiiForums Tanzania Kwanini Mbeya ni jiji? My Detailed Explanation

    Imenyanyuka sehemu gani Mimi nilikuwa Tanga juzi
  7. Tua Ngoma

    JamiiForums Tanzania Kwanini Mbeya ni jiji? My Detailed Explanation

    Mtu wa Tanga unapata ujasiri wa kulinganisha Mbeya na Tanga Inachekesha sana
  8. Tua Ngoma

    JamiiForums Tanzania Japo kwa Jinsia ni Mwanamke, Lakini kwa Mawazo, Maneno na Matendo, ni Mwanamume! Uamuzi Huu ni wa Kiume! Big Up Sana kwa Uamuzi Huu wa Kiume

    Uamuzi wa kuunda tume ya nje uchwara au. Huwezi jisafisha kizembe hivyo
  9. Tua Ngoma

    JamiiForums Tanzania Keep waiting , Barua ishaandaliwa

    Hakuna mtu anajiuzuru hapa,labda mmuuwe.
  10. Tua Ngoma

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Tuko vizuri kisiasa lakini mwenzetu mmoja anaendelea kutafakari, Tunaendelea kupokea matakwa yake

    Sawa,jitahidini sasa muache kuihusisha CHADEMA kwenye mambo yenu. Siyo Kila siku CHADEMA CHADEMA
  11. Tua Ngoma

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Tuko vizuri kisiasa lakini mwenzetu mmoja anaendelea kutafakari, Tunaendelea kupokea matakwa yake

    Kuna sehemu mmezuiwa kuendelea na hao mashost zenu 18? Sisi tuna watu
  12. Tua Ngoma

    JamiiForums Tanzania Rais na anayekupa ushauri, hii ya ugaidi ni mbaya sana

    Ndiyo hao waliotangaza wamekata magaidi? Acha kutu
  13. Tua Ngoma

    JamiiForums Tanzania ANC, SWAPO, ZANU, FRELIMO, walichoma miundombinu nchini kwao. Je, walikuwa magaidi? Kwanini tuliwaunga mkono?

    Wasomi wengi ni bodaboda na mawinga,walioshindwa shule ndiyo wanachomekwa Usalama wa taifa na UVCCM. Kiliba anasoma saa ngapi Kwa mfano? Lakini atapewa cheti na kupewa uongozi. Vijana wa CHASO wamezuiwa kufanya mtihani kisa 7/7 lakini UVCCM wanatamba watakavyo. Nchi hakuna mahali inaenda
  14. Tua Ngoma

    JamiiForums Tanzania Rais hatakiwi kulaumiwa kwa mauaji ya Oktoba 29

    Hebu tokapa
Back
Top Bottom