Recent content by Tua Ngoma

  1. Tua Ngoma

    Hii mitihani ya kidato cha nne nowdays imekuwa soft sana au ni watoto wana-IQ kubwa?

    Kuna shule zina F zero mia tatu mpaka mia nne,watoto Hawana akili siku hizi au?
  2. Tua Ngoma

    Je kuna tukio lilishawahi kukupa depression

    Tukio la kumuona Samia anahutubia wakati nimesikia amekufa. Niliumia na kuiwazia nchi yangu
  3. Tua Ngoma

    Mbunge wa Bagamoyo: Serikali isisikilize maneno uuzaji wa akiba ya dhahabu, Wanaharakati uchwara wapuuzwe

    Anajua Nini huyu zaidi ya kutegesha kiungo ili apate ubunge
  4. Tua Ngoma

    Mo 29 ilikua inaujasiri wa Hali ya juu kama tungekua na jeshi shughuli ingeisha hata kabla ya saa 10 jioni

    Ambaye hakuwepo tarehe 29 anahisi haya ni mambo ya ushabiki wa CCM na CHADEMA. Tulioshuhudia watu wakipigwa risasi mbele yetu tena wengine bila makosa tuna hasira sana na hii serikali. Ipo siku tutalipa kisasi,ipo siku haki ya Mungu tena. Pale External walipita polisi na gari ikienda kazi...
  5. Tua Ngoma

    Sigrada Mligo: Inashangaza wanyonge hatuungani kupambana na wenye nguvu

    Yeye ameungana na wenye nguvu wenzie CCM kuiba uchaguzi kuua na kujitangaza,aache CHADEMA itaungana na wanyonge wa kweli,wananchi wa Tanganyika
  6. Tua Ngoma

    PostGE2025 Waziri Mkuu Mstaafu, Pinda: Maandamano gani ya kuchoma Nyumba za Watu?

    Huyu Mzee ni mjinga kitambo. Hakuna nyumba ya binadamu ilichomwa,zilichomwa nyumba za wanyama wauaji na wanaowaunga mkono wauaji.
  7. Tua Ngoma

    Walimuita hayati Magufuli kuwa dikteta Uchwara. Sasa wanamkumbuka. CHADEMA wana wakati mgumu sana

    Magufuli alikuwa dikteta anayejifunza,mshenzi aliyeanzisha huu ujinga unaoendelea Tanzania. Labda anakumbukwa na mke wake
  8. Tua Ngoma

    Kwaheri 2025, Ulikuwa Mwaka wa Majanga!. Yaliyopita si Ndwele, Tugange Yajayo!. Karibu 2026, Uwe Mwaka wa Kheri!. Ni Mwaka wa Katiba Mpya!, Inakuja..!

    Hakuna yaliyopita hapa,yote ni ndwele,yule muuaji wa chama chako aendelee kujificha tu.
  9. Tua Ngoma

    Ni ipi sera ya CHADEMA kwa sasa baada ya No Reforms, No Election (NRNE)?

    Kauli mbiu ya Nini sasa wakati chama kimefungiwa na chama chako?
  10. Tua Ngoma

    PostGE2025 Tume ya kuchunguza matukio ya Oktoba 29 yakutana Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (CDF), Jenerali Jacob Mkunda

    Wanamuhoji aliyetoa amri ya kuua baada ya kusema waandamanaji ni wahalifu.
Back
Top Bottom