Recent content by Tua Ngoma

  1. Tua Ngoma

    JamiiForums Tanzania U'Magufuli' wa Mwigulu wawaibua Mange, Maria Sarungi na Kigogo

    Mtu yoyote,hata Samia mwenyewe akianza kuipigania Tanganyika kesho na akaamua kudai katiba mpya na kukemea watu kuuawa na kutekwa,kwetu sisi ni shujaa. Warioba alihusika kutunga katiba ya 1977 lakini Leo kwetu ni shujaa
  2. Tua Ngoma

    JamiiForums Tanzania U'Magufuli' wa Mwigulu wawaibua Mange, Maria Sarungi na Kigogo

    Mtu mzima kama wewe umeshindwa kujiridhisha kama kweli Mange na Maria wameandika haya? Huoni kama mwandishi huyu anafanya utoto.
  3. Tua Ngoma

    JamiiForums Tanzania Mzee Philip Mangula: Viwanja vya Michezo ni mali ya CCM

    Mzee asamehehwe amezeeka haiwezi kuwa na akili timamu
  4. Tua Ngoma

    JamiiForums Tanzania Lissu: Nipo tayari kukaa gerezani mpaka haki itakapopatikana

    Maccm yatachagua yenyewe yazae au yatoe
  5. Tua Ngoma

    JamiiForums Tanzania Mnyika amejibu vizuri sana

    Hata sijui
  6. Tua Ngoma

    JamiiForums Tanzania Mnyika amejibu vizuri sana

    Alikuwa TO wakati Katuga anasoma QT
  7. Tua Ngoma

    JamiiForums Tanzania Shetani hana Rafiki: Baada ya Nchimbi kushughulikiwa ni yupi mwingine anafuatia (WHO IS NEXT?)

    Next ni bwana Mwigulu Then Jaji mkuu yule wakuitwa Masaju Lastly ambaye itakuwa Kwa aibu na maumivu ni Makonda. Then CCM itajimalizia
  8. Tua Ngoma

    JamiiForums Tanzania IGP Wambura: Tunawaomba wananchi wajitokeze kusalimisha silaha haramu walizonazo kwa hiari

    Watu tunatamani tuzipate huku mtaani,maana mmetuzoea sana bwana wambura
  9. Tua Ngoma

    JamiiForums Tanzania Eti, frame kama hii KariaKoo ni Tsh ngapi?

    Choo Cha hivi si utakufa Kwa hofu,hilo ni kabuli
  10. Tua Ngoma

    JamiiForums Tanzania Donald Felix Mwembe: Lissu amekaa sana gerezani inauma, Heche akubali maridhiano atoke

    Hawa ndiyo walipangwa kuja kuvuruga baraza kuu,chama kisiogope kumfukuza,watu kama hawa ni zaidi ya wachawi.
  11. Tua Ngoma

    JamiiForums Tanzania Katibu wa Chadema Mkoa wa Mara amuasa Heche kukaa meza ya maridhiano ili Lissu atoke

    Anaitwa nani huyo matako?
  12. Tua Ngoma

    JamiiForums Tanzania Walimu acheni kuwafundisha watoto wetu mabongo fleva kwenye mahafali za shule

    Watanzania Kwa kuandika ujinga hawajambo,mtoto anafundishwa upumbavu nyumbani mnaona kama walimu ndiyo wa kuwatupia uzembe wenu, graduation ni siku Moja na mazoezi ya kucheza hayazidi siku mbili,nani anaweza kumfundisha huyo mtoto wako Mjinga asiyeweza kukariri hata definition Moja kucheza ndani...
  13. Tua Ngoma

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe, Tusamehe kwa kukuita Msaliti ulipotaka kumng'oa Mbowe

    Hiyo haibadilishi ukweli kuwa Zitto alikuwa anatumika
Back
Top Bottom