Mtu yoyote,hata Samia mwenyewe akianza kuipigania Tanganyika kesho na akaamua kudai katiba mpya na kukemea watu kuuawa na kutekwa,kwetu sisi ni shujaa.
Warioba alihusika kutunga katiba ya 1977 lakini Leo kwetu ni shujaa
Watanzania Kwa kuandika ujinga hawajambo,mtoto anafundishwa upumbavu nyumbani mnaona kama walimu ndiyo wa kuwatupia uzembe wenu, graduation ni siku Moja na mazoezi ya kucheza hayazidi siku mbili,nani anaweza kumfundisha huyo mtoto wako Mjinga asiyeweza kukariri hata definition Moja kucheza ndani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.