Recent content by Tua Ngoma

  1. Tua Ngoma

    LIVE UPDATES: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Iran na Israel

    Kwanini hawawezi kuingilia kumsapot Iran?
  2. Tua Ngoma

    LIVE UPDATES: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Iran na Israel

    Ni ujinga au ni nini? Unasema Russia China na North Korea hawajawahi shirikiana? Vita ya Korea alipigana babaako?
  3. Tua Ngoma

    Furaha yatawala Iran kuwashambulia Israel, tutegemee shinikizo kwa Israel kusitisha vita kipigo kikikolea?

    Nani kazungumzia Israel kushindwa? Soma vizuri then jibu swali
  4. Tua Ngoma

    Furaha yatawala Iran kuwashambulia Israel, tutegemee shinikizo kwa Israel kusitisha vita kipigo kikikolea?

    Kwa hiyo kupigana na Iran ni vita rahisi, kwa sababu hizo ulizozisema? Inaweza kuchukua siku ngapi hiyo vita rahisi hadi Iran kuchakaa?
  5. Tua Ngoma

    Furaha yatawala Iran kuwashambulia Israel, tutegemee shinikizo kwa Israel kusitisha vita kipigo kikikolea?

    Duuuh kumbe upo ndani ya vyombo vya usalama vya Marekani.
  6. Tua Ngoma

    Kanisa Katoliki latoa waraka mpya unaiotwa 'Dignitas Infinita' likipinga Utoaji Mimba, Kubadilisha Jinsia na Upandikizaji wa Mimba

    Kijana upumbavu wa kumuamini muddy na wapumbavu wengine usiulazimishe kwa kila mtu. Kanisa limeupambania ukristo kwa maelfu ya miaka na kutunza maandiko matakatifu,leo hii unataka tumuamink sheikh wako au mchungaji wako asiyejua hata ukristo umepitia mangapi kufika ulipo. Kanisa ni moja,hayo ya...
  7. Tua Ngoma

    Kanisa Katoliki latoa waraka mpya unaiotwa 'Dignitas Infinita' likipinga Utoaji Mimba, Kubadilisha Jinsia na Upandikizaji wa Mimba

    Usiwe mpumbavu,kuoa au kuolewa ni chaguo la mtu,kanisa haliwezi kukulazimisha usioe,ila linakupa uchaguzi,either utumikie nafsi yako na uoe,au umtumikie Mungu na uyaache matamanio ya dunia. Padri au sister anapoingia huko anajua hatakuwa na ndoa. Au baba yako amezuiliwa kuoa?
  8. Tua Ngoma

    Uzuri wa Paul Makonda ni kiongozi mwenye Mamlaka popote anafiti kundi kubwa la watu litahamia Arusha sasa

    Pia tunamshukuru mama Samia kwa kuteletea makonda,amepunguza wadudu. Mbu hamna kabisa toka aje
  9. Tua Ngoma

    Trump asema damu itamwagika asiposhinda urais Novemba

    Acha ujinga,weka video akisema hivyo. Trump amezungumzia suala la China kujenga viwanda vya magari Mexico na kutaka kuyauza Marekani. Amesema akichaguliwa ataweka kodi ya asilimia mia kwa magari hayo la sivyo China haitauza magari hayo Marekani. Mwisho akamalizia kwa kusema kama asipochaguliwa...
  10. Tua Ngoma

    Kama CHADEMA wana akili wangejikita kwenye Katiba

    Bora wewe ni CCM uliyemchukia Magufuli,na kumpamba sana Samia nyakati za mwanzo za uongozi wake. MwanaCCM wa hivi hajawahi kuipenda nchi hii wala kuiwazia mema, mwanaCCM wa hivi huwaza tumbo lake,Hawezi kuitamani katiba bora. Tafadhari stick na kumsifia Samia,usiwapangie CHADEMA cha kufanya.
Back
Top Bottom