Vijana wengi waliaminiwa na CHADEMA na kupewa nafasi nyingi za kugombea ubunge na wakawa wabunge, CHADEMA ingekuwa chama tawala wangekuwa mawaziri.
Silinde,Mnyika,Nassari,Mdee,Zitto,Heche na madogo kabisa kama Pambalu.
Na ndiyo angalau wakasababisha CCM Ione kama vijana wanaweza.
Wasomi wengi ni bodaboda na mawinga,walioshindwa shule ndiyo wanachomekwa Usalama wa taifa na UVCCM.
Kiliba anasoma saa ngapi Kwa mfano? Lakini atapewa cheti na kupewa uongozi.
Vijana wa CHASO wamezuiwa kufanya mtihani kisa 7/7 lakini UVCCM wanatamba watakavyo.
Nchi hakuna mahali inaenda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.