Kijana upumbavu wa kumuamini muddy na wapumbavu wengine usiulazimishe kwa kila mtu.
Kanisa limeupambania ukristo kwa maelfu ya miaka na kutunza maandiko matakatifu,leo hii unataka tumuamink sheikh wako au mchungaji wako asiyejua hata ukristo umepitia mangapi kufika ulipo.
Kanisa ni moja,hayo ya...
Usiwe mpumbavu,kuoa au kuolewa ni chaguo la mtu,kanisa haliwezi kukulazimisha usioe,ila linakupa uchaguzi,either utumikie nafsi yako na uoe,au umtumikie Mungu na uyaache matamanio ya dunia.
Padri au sister anapoingia huko anajua hatakuwa na ndoa.
Au baba yako amezuiliwa kuoa?
Acha ujinga,weka video akisema hivyo.
Trump amezungumzia suala la China kujenga viwanda vya magari Mexico na kutaka kuyauza Marekani.
Amesema akichaguliwa ataweka kodi ya asilimia mia kwa magari hayo la sivyo China haitauza magari hayo Marekani.
Mwisho akamalizia kwa kusema kama asipochaguliwa...
Bora wewe ni CCM uliyemchukia Magufuli,na kumpamba sana Samia nyakati za mwanzo za uongozi wake.
MwanaCCM wa hivi hajawahi kuipenda nchi hii wala kuiwazia mema, mwanaCCM wa hivi huwaza tumbo lake,Hawezi kuitamani katiba bora.
Tafadhari stick na kumsifia Samia,usiwapangie CHADEMA cha kufanya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.