ni kweli ukilelewa CHADEMA unakuwa na uwezo wa kuzungumza na kumbambanua mambo. ndio maana CCM inawatumia ila baada ya mda uwezo wao utakwisha kabiza wala wana CCM msilalamike kwani wahana mda watauwa wakawaida tu
makinda kajitahidi kidogo japokuwa kakopi na kupesti ila mabunge mawili siyaungi mkuno. na ikiwa hivyo iwepo na utaratibu ya kuwachagua, vyeo vya kupewa vinamatatizo na tuzikubali. pia hili la kusema viongozi wastafu waingie moja kwa moja kwenye bunge la senate kwa lipi walichotufanyia tuendelee...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.