Mwenyekiti wa Chadema taifa, Freeman Aikael Mbowe, a.k.a Kamanda wa ANGA, kesho anatarajiwa kuunguruma jijini Mwanza katika mkutano mkubwa utakaofanyika viwanja vya FURAHISHA.
Viongozi wengine watakaowasha moto hiyo kesho ni Mkurugenzi wa Halmashauri na Bunge wa Chadema, John Mrema, Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa CDM, Alfred Rwakatare pamoja na Benson Kigaila ambaye ni Mkurugenzi wa Oganaizesheni wa chama!. Pia Mbowe atafungua kikao cha kwanza cha Baraza la Kanda ya Ziwa Magharibi pale ASPEN hoteli kabla hajaenda kuhutubia mhadhara huo.
Viongozi wengine watakaowasha moto hiyo kesho ni Mkurugenzi wa Halmashauri na Bunge wa Chadema, John Mrema, Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa CDM, Alfred Rwakatare pamoja na Benson Kigaila ambaye ni Mkurugenzi wa Oganaizesheni wa chama!. Pia Mbowe atafungua kikao cha kwanza cha Baraza la Kanda ya Ziwa Magharibi pale ASPEN hoteli kabla hajaenda kuhutubia mhadhara huo.