Mheshimiwa, Kwanza nikupe pole na Hongera Kwa kazi unazofanya kwenye Jamii.
Mheshimiwa nakumbuka mwaka juzi kwenye mafuriko na sintofahamu pale ilipokuwa awali Shule ya Msingi Juhudi, kata ya Lukobe, Viongozi akiwemo aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ilionekana eneo lile si salama tena Kwa watoto na...
Wewe binafsi ni mwana CCM, je unaona kuna uhuni? Kama ndio umechukua hatuna gani? Kama sio basi nakushauri usimshauri chochote kwani wewe si mgeni na yanayoendelea kwani hujui Ndugai yaliyomkuta, na ya huyo Gwajima je?
Mambo ya kizamani hayo!! Hawakulazimishwa kusaini, kumbe walisaini kutegemea waje watushawishi tukafanye vurugu vituoni kwenda kinyume na masharti ya tume ya uchaguzi, lijinga Sana hili
Huyu bwana mdogo nilidhani wanaomsakama wanamuonea, kumbe ni lijinga Sana, uliowaona wamekataa uliowaona ni wajinga, umesaini ili iweje?? Ili uje utuchonganishe na Dola watuvunje!! HUTUPATI NG'OOOO!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.