Recent content by Tsyamatsy

  1. T

    Barua ya Wazi Kwa Mbunge wa Morogoro Mjini, Abdul Aziz Abood: Bado tunasubiri yale madawati uliyotuahidi

    Mheshimiwa, Kwanza nikupe pole na Hongera Kwa kazi unazofanya kwenye Jamii. Mheshimiwa nakumbuka mwaka juzi kwenye mafuriko na sintofahamu pale ilipokuwa awali Shule ya Msingi Juhudi, kata ya Lukobe, Viongozi akiwemo aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ilionekana eneo lile si salama tena Kwa watoto na...
  2. T

    Wakati mnalalamikia ule mchango wa Yanga kwa CCM, kuna hili liliwapita

    Kichwa chako kinafanyakazi vizuri Sana wewe! 👍🙏🙏
  3. T

    Hongera sana Cde. Polepole, Kuna kitu Watanzania hawakielewi

    Wewe binafsi ni mwana CCM, je unaona kuna uhuni? Kama ndio umechukua hatuna gani? Kama sio basi nakushauri usimshauri chochote kwani wewe si mgeni na yanayoendelea kwani hujui Ndugai yaliyomkuta, na ya huyo Gwajima je?
  4. T

    Je, Kati ya "Oktoba linda kura' na "No reforms no election" ipi inahamasisha vurugu?

    Mambo ya kizamani hayo!! Hawakulazimishwa kusaini, kumbe walisaini kutegemea waje watushawishi tukafanye vurugu vituoni kwenda kinyume na masharti ya tume ya uchaguzi, lijinga Sana hili
  5. T

    Je, Kati ya "Oktoba linda kura' na "No reforms no election" ipi inahamasisha vurugu?

    Bila Fujo! Kwa ulaini kabisa NO REFORM NO ELECTION!!!
  6. T

    Je, Kati ya "Oktoba linda kura' na "No reforms no election" ipi inahamasisha vurugu?

    Huyu bwana mdogo nilidhani wanaomsakama wanamuonea, kumbe ni lijinga Sana, uliowaona wamekataa uliowaona ni wajinga, umesaini ili iweje?? Ili uje utuchonganishe na Dola watuvunje!! HUTUPATI NG'OOOO!!
  7. T

    Je, Kati ya "Oktoba linda kura' na "No reforms no election" ipi inahamasisha vurugu?

    Kwa taratibu kabisa ukulele unashushia na maji bariiidiiii!!🤸🤸
  8. T

    Je, Kati ya "Oktoba linda kura' na "No reforms no election" ipi inahamasisha vurugu?

    Si kibaraka Tu Bali inawezekana ni Jini linalogombanisha watu halafu lenyewe limekaa pale linafurahi, pumbavu Sana, nimemtoa thamani
Back
Top Bottom