Recent content by Tselm

  1. T

    Kweli CCM Tunachukiwa!

    Mkuu sema watu 2 tu ndiyo walionyesha kutoijua CCM! hakuna anayoipenda CCM hata 1 isipokuwa wasioijua ndio wanaonekana kama wanaipenda!
  2. T

    Supreme leader(Zito) asusa mutant wa Ukawa

    Acha kulazimisha hoja? Kwani hujui kama ACT iliandika barua ya maombi ya kujiunga na UKAWA mpaka kesho hawajajibiwa na hawatajibiwa hata keshokutwa. Unajua tafsiri ya kutojibiwa?..............mpuuzi, huna maana na mengine mengi ambayo sitaki kutaja hapa kwa ajili ya maadili. Afu eti sizitaki...
  3. T

    Wema Sepetu ana nguvu kuliko Lowassa?

    Labda unaongelea zile zingine sio za kisiasa
  4. T

    Mpango wa MUNGU uliuofeli kabla ya kuanza

    Mungu yupi hata wewe waweza kumtaja?
  5. T

    Lowassa na siasa za makanisani?

    Wana JF, wakati wengine wanashauku kubwa ya kujua EL atatoa uamuzi gani baada ya jina lake kufyekwa mimi binafsi nina shauku ya kujua kama EL ataendelea na safari yake ya matumaini aliyoianza kwa kasi ya kutoa rambirambi, kuchangia makanisa na misikiti kwa kiwango kile kile cha mapesa na...
  6. T

    Nape: Wanaotoa kauli za kukigawa chama tutawashughulikia

    Heri kama angekuwa na uwezo tu wakujiona yuko sahihi kwa sababu siku 1 angejiona hayuko sahihi. Huyu jamaa hajitambui kabisa!
  7. T

    Lowassa Rais UKAWA, Mwenza - Slaa, Lipumba - Waziri Mkuu, Zitto naye ndani

    Hapa akili ziko kwenye mfuko hazina connection kabisa na mwili wako.
  8. T

    Prof. Ibrahim Lipumba na Maalim Seif wana wake, watoto (familia)?

    Acha maelezo ya kitoto kwenye hoja ya msingi! Au huyo mwanamke naye tumfananishe na kifo cha balali? itakuwa busara kama ukasema mkewe hajazaliwa bado maana hata picture yake hatutoweza kupata. Kama viongozi wengine milupo yao tu inapigwa picha tunaijua kulikoni mke wa lipumba?
  9. T

    Kiongozi wetu, ACT - Wazalendo Zitto Kabwe

    Huu sio ubunifu ila ni upuuzi uliopitiliza
  10. T

    Ukimwona mtu anapinga uundwaji wa Sheria ya Gesi na Mafuta muogope kama ukoma

    Hii post yako nikipimo cha uwezo wako wa kufikiri na image/taswira ya muonekano wako si wa nje tu hata wa ndani hata kwa watu ambao hawajawahi kukuona. Wenye busara wanatambua kuwa ni rahisi na kawaida mtu mjinga kuwaita/kuwaona wengine wajinga kwa kuwa hana uwezo wa kutambua upi ujinga na upi...
  11. T

    Ikibainika kuwa ni kweli, Mbowe you have to resign

    Huu ni utoto au ujinga? Hoja ya msingi ni source ya habari/udau wako. Watanzania mtumiege hata kaakili kadogo tu kujenga na kujibu hoja. Ulitakiwa ujibu hivi, wapi nimesema magazeti? Chanzo ni ........taja hapa, ache ubabaishaji.
  12. T

    Mshahara anaolipwa Mkwasa unaleta picha gani kwa Watanzania?

    Utetezi wowote utakaotolewa kwenye hoja hii itakuwa ina support sentesi yako ya mwisho tatizo la watanzania ni kichwani. Ukitaka kujilidhisha kwa hili pitia post za wote waliochangia mada hii utagundua vichwa vyetu vimeoza. Nikukumbushe mkuu, masikini wa kichwani hana shida 1, pia hawezi...
  13. T

    Revealed: Chimbuko la utajiri wa Lowassa hili hapa. Je, anafaa kuwa rais?

    very weak argument! so what? kwani amekwambia alisoma pamoja na El!
  14. T

    Revealed: Chimbuko la utajiri wa Lowassa hili hapa. Je, anafaa kuwa rais?

    Wewe ni binadamu au mnyama? nahisi kama utashi 'Z'
Back
Top Bottom