Hongera jirani zetu kwa Ku handle mambo kisheria na kikatiba. Hapa kuna jamaa mmoja mnyarwanda yeye yuko juu ya katiba na sheria.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu jamaa ana heshima kubwa katika muziki wa hapa tz,lakin historia inaonyesha ni MTU wa visasi hasa msanii anapokataa kukubaliana na matakwa yake linapokuja suala LA maslahi.
Wewe ulieleta huu Uzi ni mshamba sana,kuna hata marais uku duniani huvaa izi rubber mfano ni rais wa Kenya.sioni ubaya wowote kuvaa izo rubber kwan MTU kuvaa iyo aimaniishi ndio ana tabia mbaya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.