Sakata la Sh.Trilioni 1. 5: Zitto kutoa maelezo mengine leo

Sakata la Sh.Trilioni 1. 5: Zitto kutoa maelezo mengine leo

Katika ukurasa wake wa twitter na facebook, Zitto ameseme leo ataelezea "matobo" ya majibu ya serikali kuhusiana na sakata la shilingi trilioni 1.5 na baada ya hapo wataliachia Bunge lifanye kazi yake.

Safi sana Zitto!

Hizi sio zama za zidumu fikra za mwenyekiti kama ambavyo kundi fulani la watu linavyotaka Taifa zima tuamini bali ni zama za zidumu fikra kinzani kwa maendeleo ya Taifa..
Maandamano vipi?, umehamisha Mada?, Kwa sasa tupo kwenye tasmini ya maandamano, hiyo pesa Kwa jinsi kichwa chako kilivyo tupu, empty Kwa kimombo hata ufafanuliwe na wafu hutaelewa, upuuzi umechukua eneo kubwa la sehemu ya kiwiliwili chako
 
Sawa, lakini watakuja kuzitema tu.
Time wll tell.
mkuu hela huwa haziishi..

Kina mobutu walikuaga wanajichotoa tu,
kina Abacha etc ,hela huwa haziishi,
hivi hata wewe Trilion 1 utaipeleka wapi?,maana huwa haifichiki kama pembe la ng'ombe,
acheni wale,ndo wakati wao huu
 
Sawa, lakini watakuja kuzitema tu.
Time wll tell.
mkuu hela huwa haziishi..

Kina mobutu walikuaga wanajichotoa tu,
kina Abacha etc ,hela huwa haziishi,
hivi hata wewe Trilion 1 utaipeleka wapi?,maana huwa haifichiki kama pembe la ng'ombe,
acheni wale,ndo wakati wao huu
 
Back
Top Bottom