Recent content by truth1990

  1. T

    Bibi harusi atoweka siku saa chache kabla ya harusi

    Wakuu leo ilikuwa ni siku ya harusi ya aliekuwa mchungaji wangu. Lakini katka hali ya kushangaza,, Bibi harusi hajaja kwenye ukumbi wa harusi. Yaani sendoff imefanyika kwao jana alafu leo siku ya harusi mwanamke ameingia mitini. Cm inapigwa hapokei. Maandalizi yote yalikuwa tayari yamefanyika...
  2. T

    Nimeamua kuachana rasmi na siasa, dini na mapenzi

    Maisha yamenifunza mengi; Duniani kuna kila kitu lakini si kwa ajili ya kila mtu. FURAHA ipo lakini si kwaajili ya kila mtu, MAGARI mazuri yapo lakini si kwa kila mtu, PESA zipo lakini si kwa kila mtu, NYUMBA nzuri zipo lakini si kwa kila mtu, VYEO vipo lakini si kwaajili ya kila kwa kila...
  3. T

    Surrogacy imeturahishishia maisha

    Pole saana mkuu,, Hata uwe na physical appearance ya aina gani,, hata iwe abnormal kiasi gani hauwezi ukachukiwa na kila mtu au kukataliwa na kila mtu. kwaiyo the case here is more spiritual. Kuna tatizo kubwa katika ulimwengu wako wa kiroho Watu wanafungwa wasizae, wanafungwa wasiolewe...
  4. T

    Je, umepitia changamoto katika maisha yako, lakini baadae ukaona si changamoto bali ndio maisha yako halisi

    Unajua kuna tofauti kati ya kukata tamaa na kukubali matokeo. Katika maisha unaweza ukazaliwa mzima kabisa yaani sio mlemavu wa kiungo chochote cha mwili, na ukaona mtu aliyezaliwa mlemavu labda ni kama ana wakati mgumu kidogo maishani tofauti na wewe kumbe sivyo. Sasa kuna wakati mtu unapitia...
  5. T

    Usioe mke tu, oa mama wa watoto wako

    [emoji375][emoji375][emoji375][emoji375]
  6. T

    Usioe mke tu, oa mama wa watoto wako

    Every human being do change with time,,lakini vipi si bora akabadilike akiwa ndani ?
  7. T

    Usioe mke tu, oa mama wa watoto wako

    Soma vizuri ,,nimesema ana sifa nyingi zisizofaa,,kiburi jeuri na dharau ni sifa zisizofaa,, Nilizotaja mimi ni baadhi tu na ndio maana nimeweka nk mwishoni
  8. T

    Usioe mke tu, oa mama wa watoto wako

    Ana sifa nyingi zisizofaa,, Ila kuu ni mwanamke asiejitambua, Ni mwanamke aliekosa maadili mema,,ni mwanamke mvivu nk
  9. T

    Usioe mke tu, oa mama wa watoto wako

    Kuoa na kuanzisha familia ni moja ya hatua muhimu zaidi kwa kijana. Kwa kua ni hatua muhimu zaidi basi umakini zaidi unahitajika hasa katika kuchagua mwenza sahihi wa kuanza naye safari hiyo muhimu. USITUMIE HISIA, TUMIA AKILI Katika kuchagua aina ya mwenza unaemuhitaji tumia zaidi akili...
  10. T

    Huyu ni Mungu wa aina gani anaacha niteseke kiasi hiki?

    Kweli, Mafanikio hayategemei juhudi pekee,,ingekuwa hivyo kila mtu angefanikiwa,, Mafanikio ni KIBALI na kibali ni BAHATI,,, Hivyo; MAFANIKIO=KIBALI+MIPANGO MIZURI+JUHUDI.
  11. T

    Kwanini mwanaume anapiga goti anapomvisha pete ya uchumba binti?

    Hili nalo linahitaji makubaliano? Nafikiri ni utashi tu. Liko wazi hili,,
  12. T

    Huu muujiza wa maombi na mimi umenishtua

    Namjibia.... Hakuna watu watu wa haina hiyo... Kila mtu ana limit ya uwezo katika kila jambo.. MUNGU Aliweka limit kwa kila mtu kwa kila jambo kwa dhumuni maalumu ... Back to the topic,,,kitendo hicho kimevuka limit,, Ni sawa kujua mtu anawaza nini-haiwezekani
Back
Top Bottom