love life live life
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 2,529
- 2,896
Sometimes giving up is the sign of perseverance and not the sign of weakness aliandika mwandishi
wa habari mwanamama wa uingereza Reni Eddo-Lodge kwenye kitabu chake cha why i'm no longer talking to white people about race, akiwa anaelezea white supremacy and structual disadvantage of black people na nini kifanyike.
Watu wanasikia wanachokipenda na wanachotaka kukisikia iwe kwenye dini, siasa na mapenzi iko proved na wanasaikolojia to be honest sijazaliwa ku-mplease mtu yeyote hata baba yangu mzazi nilishindwa kwa mara zote nilizo jaribu, naye sitajaribu tena kum-please.
Kama alivyosema Newton "Socrate is my friend, Plato is my friend but my greatest friend is the truth", kusema ukweli katika jamii ambayo uongo na kujipendekeza ndio nguzo kuu ni kitu ambacho kimenishinda nimeamua
kukaa kimya nisiongee chochote kwani sitabadilisha chochote kwa aina ya watu kama hao sio tu wanao sujudu uongo
bali wamekuwa wakijidanganya hata wao wenyewe kwenye nafsi zao kwa mambo mengine mengi na pengine uongo mdogo umewakinai wanahitaji kudanganywa uongo mwingine mkubwa zaidi.
the first principle is that you must not fool yourself and you are the easiest person to fool, alituasa Feyman.
Sisemi nimeacha kujadili hayo mambo lakini nitajadili na open minded people ambao wamefungua mioyo yao
na akili zao na sio wale wanaojadili ili kushinda mijadala na sio kujifunza katika mijadala hiyo.
NB: unapoona jamii ina shule moja zahanati moja na makanisa 136 na hamna kiwanda chochote huhitaji kujua kuna matatizo
gani katika hiyo jamii mwenye hekima alisema.
Nimeamua kufanya hivyo sio kuwa nimekata tamaa na watu hao lakini kwa faida kubwa kwao na kwangu
kuokoa mda na nishati(to save time and energy).
wa habari mwanamama wa uingereza Reni Eddo-Lodge kwenye kitabu chake cha why i'm no longer talking to white people about race, akiwa anaelezea white supremacy and structual disadvantage of black people na nini kifanyike.
Watu wanasikia wanachokipenda na wanachotaka kukisikia iwe kwenye dini, siasa na mapenzi iko proved na wanasaikolojia to be honest sijazaliwa ku-mplease mtu yeyote hata baba yangu mzazi nilishindwa kwa mara zote nilizo jaribu, naye sitajaribu tena kum-please.
Kama alivyosema Newton "Socrate is my friend, Plato is my friend but my greatest friend is the truth", kusema ukweli katika jamii ambayo uongo na kujipendekeza ndio nguzo kuu ni kitu ambacho kimenishinda nimeamua
kukaa kimya nisiongee chochote kwani sitabadilisha chochote kwa aina ya watu kama hao sio tu wanao sujudu uongo
bali wamekuwa wakijidanganya hata wao wenyewe kwenye nafsi zao kwa mambo mengine mengi na pengine uongo mdogo umewakinai wanahitaji kudanganywa uongo mwingine mkubwa zaidi.
the first principle is that you must not fool yourself and you are the easiest person to fool, alituasa Feyman.
Sisemi nimeacha kujadili hayo mambo lakini nitajadili na open minded people ambao wamefungua mioyo yao
na akili zao na sio wale wanaojadili ili kushinda mijadala na sio kujifunza katika mijadala hiyo.
NB: unapoona jamii ina shule moja zahanati moja na makanisa 136 na hamna kiwanda chochote huhitaji kujua kuna matatizo
gani katika hiyo jamii mwenye hekima alisema.
Nimeamua kufanya hivyo sio kuwa nimekata tamaa na watu hao lakini kwa faida kubwa kwao na kwangu
kuokoa mda na nishati(to save time and energy).