my dear, comments zako zina mantiki lakini hazina nguvu. Lissu alipotakiwa kujitetea at least ali-cite vifungu vya katiba kuonyesha wapi rais alikosea,alionyesha udhaifu wa majaji walioteuliwa. ingenipendeza sana if u could give out some reasons why the president has went wrong. then utueleze...
WE sio mahakama hadi kuamua kugawa mali kabla ya talaka. ila kumbuka sheria f.114 sheria ya ndoa inazungumzia mgawanyo sawa wa mali zilizochumwa kwa juhudi za pamoja ndani ya pamoja. hivyo mgawo wenu wa mali ni zile mlizochuma kwa pamoja tu.
Ndugu wana JF.
Naamini njia pekee ya kumpata mke/mme mwema ni kumshirikisha Mungu. Lakini imani lazima iendane na vitendo . i.e. lazima mtafutaji achukue jitihada za lazima kumtafuta huyo ampendaye na kama huyo mchumba ni mke/mme mwema basi lazima Mungu atafanikisha ndoa hiyo. Naamini pia kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.