hapana chezea ccm! GENGE LA MCHANGANI HOI ...gazeti linakaribia kufirisika...WAMEBADILISHIA GIA ANGANI kama kawaida! Wananchi wananunua magazeti kama brands zimetajwa...na brands za TZ kwa sasa ni 1) JPM na falsafa ya majipu na vilaza 2)CCM under Kinana 3) Diamond and WCB aka SIMBA 4) Ali...
Povu la nini! Mbona upande wa pili lini mara ya mwisho mmefanya uchaguzi? Kwa katiba ipi iliyompa nafasi MR NYEUPE kuwa KIONGOZI MKUU WA GENGE LENU? Sasa hivi Mzee wa kubadilishia GIA ANGANI anahaha! anajuta kumfahamu NYEUPE!
Hii ni habari njema kwa sisi wana mabadilikoo! Mwalimu Nyerere aliwahi kusema....Ukiyakosa CCM nenda ukayafanye kwenye Vyama vya UPINZANI...... Go EDO! Go EDO! GOOO!
Tittle yake ni MTEMI CHENGE... anafanyia Mkutano Bariadi...shida iko wapi? angakuwa MACHAME sawa! Mbona wale wenzetu wanaendelea na mikutano kidizaini kwenye vilabu vya mbegge na hakuna malalamiko.... KARIBUNI SANA DODOMA TUJE KUWANYOA NYWELE VIPARA KWA NYEMBE!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.