Niliuziwa line ya halotel y kiuanafunzibmwaka jana, kama ilivyo ada nilikuwa naweka kila mwezi muda w maongezi wa kuanzia Tsh 10,000++ accoarding to my matumizi, lakini cha kushangaza kila yafikapo majira ya jioni network upande wa data ni ovyo kwa 95%, lakini ifikapo alfajir kasi ni ya...