Rooney mchoyo sana na mbinafsi, nashukuru alikosa hiyo penati. Kwa nini hakumuachia Mata akapiga, ilikuwa ni last kick. Mata angeondoka na hat trick yake.
Ukweli ni kwamba gemu Manu waliimaliza kipindi cha kwanza, hamna cha kadi nyekundu wala refa! Timu iliyocheza vizuri na kutaka pointi tatu ndo imeshinda leo!
Liver, karibuni Emirate, tuje weka chumvi kwenye kidonda.
Kituko, ulitaka Manu wabebwe hata kama hawakufuzu? kwani ni nani aliyewatupa nje? jibu ni hawana sifa ya UCL. Na msimu ujao mtaendelea kuwa watazamaji tu.
Kwa wale wanaotaka kupiga fweza za haraka haraka toka kwa muhindi, weka bet ya kwa arsenal kushinda na kuvuka raundi hii uone utavyopata mtaji. Wenye masikio wasikie na wafuate huu ushauri.
Kiukweli, mimi Ozil nimeshakata nae tamaa! Anahitaji mechi ngapi kuthibitisha uwezo wake? Na cha ajabu wenger anaona anafaa zaidi ya carlzora ktk no. 10 wakati santi ndo anaitendeaga haki hiyo nafasi.
Ozil sio big match player!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.