Kwa sasa hivi mustakabali wa Tanganyika na Zanzibar unahitaji kipaumbele. Watanganyika wapate nafasi ya kuamua juu ya ardhi yao na rasilimali zilizomo.
Hii inanikumbusha tukio jingine la awamu ya pili ambapo raisi alikifunga chuo kikuu cha Dares Salaam (UDSM) kwa miezi nane bila kujali madhara kwa jamii. Ikumbukwe wakati huo vilikuwepo vyuo vikuu viwili tu: UDSM na SUA.
Kutegemea Kikwete awabebe waislamu kwa kuwa yeye ni muislamu ni fikra potofu. Hawezi kufanya hivyo katika nafasi yake kama raisi wa Watanzania wa imani zote. Wale wanaomchagua kiongozi kwa kuangalia dini yake hata kama hafai wanatumia vibaya kura zao. Ndio hao tunawaona wanaanza kulalamika.
Nimeona mabango kwenye zahanati na hospitali yanayowashauri watu wanaopatwa na kikohozi kuwa kikiendelea zaidi ya wiki mbili wakachecki kifua kikuu. Kulingana na utafiti uliofanywa hivi karibuni imeonekana kwamba ugonjwa wa kikohozi hauishi mapema hivyo. Pia tuanashauriwa tuwe wavumilivu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.