Recent content by True Believer

  1. True Believer

    Hatimaye yule aliyekuwa akihubiri kwamba Yesu sio Mungu amenena wazi leo kuwa Yesu ni BWANA!

    Kama yesu ni Mungu, Maria na mungu wakiwa pamoja tutawaitaje?
  2. True Believer

    Kuuawa, kutekwa, kupotea na kushambuliwa kwa viongozi wa CHADEMA, kunaashiria nini?

    Tunapenda kuchangia maoni mazuri tu, ila kwa nchi yetu kama TANZANIA. Hakuna kitu kibaya kama kuwa MPINZANI.
  3. True Believer

    Nimepata msiba wa mwanangu wa pili, ana miaka 2

    •REST IN PEACE OUR BELOVED SON•
  4. True Believer

    Je, Allah alikuwepo kabla ya kushuka Quran?

    Mkuu, umejibu vizuri hakika.
  5. True Believer

    Je, Allah alikuwepo kabla ya kushuka Quran?

    Tafadhari naomba andiko litakalotetea hoja hii, nami nijifunze kitu kupitia maelezo Yako mkuu.
  6. True Believer

    Wanajeshi wa Israel wanabeba maiti zao huku wanalia kwa uchungu

    Allah Yupo ila hayupo katika akili Yako.
  7. True Believer

    Wanajeshi wa Israel wanabeba maiti zao huku wanalia kwa uchungu

    Mdhaifu kuliko aliekuumba? Au aliyekuumba, alikuumba na udhaifu wa kutoweza kutofautisha kati yake na ALLAH?? Au aliyekuumba ni nani ALLAH??, au aliyekuumba na udhaifu wa kushindwa kutofautisha kati ya ALLAH na aliyekuumba??
  8. True Believer

    Happy birthday Dkt. Magufuli-Pongezi kwako!

    Kuna Muda kama ingewezekana, ungefufuka kuna watu ilibidi uje KUWAUA, Wanatuletea UFAKA KINOMA. 🇹🇿REST IN PEACE COMRADE🇹🇿
  9. True Believer

    Ukitumiwa ujumbe na Matapeli huwa unajibu nini?

    Kwani wewe binafsi huwa unachukuaga hatua gani mkuu??
  10. True Believer

    Amejiua baada ya Mume wake kakataa ujauzito

    Mshahara wa DHAMBI, ni MAUTI.
  11. True Believer

    Mungu hana msaada wowote katika maisha yangu

    MUNGU, hayupo kwaajiri ya watu legelege like him, mim naona tatzo sio Mungu, tatizo lipo ndani ya BONGO yake.
  12. True Believer

    Special Thread: Motivational/ Interesting/ Wise Quotes

    Kuna cha kujifunza katika haya.🤲
Back
Top Bottom