Recent content by triss tie

  1. T

    JamiiForums Tanzania Tumeanza kula matunda ya mikutano ya Tundu Lissu Ulaya na Marekani

    duuu kweli kazi ipo kuwaelomisha watanzania Kama Hawa kweli taifa na serikali Ni kitu kimoja??.serikali inaweza kuvunjwa na kuondolewa madarakani ktk kuongoza taifa na wakachaguliwa wengine katka taifa kua serikali ya kuongoza taifa.taifa Ni watu wote na rasilimali katika nchi.mwisho taifa...
  2. T

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu ieleze dunia kuwa kuna mbunge wa CCM amedai ana ushahidi wa tukio la wewe kushambuliwa

    mi binafsi ningrpenda hats Kama uchunguzi was kumtambua aliehusika na shambulio la tundu lissu basi hata ipatikane riport kua CCTV camera ilikuaje zkatolewa baada tu ya shambulio la mbunge tundu lissu!!!.
  3. T

    JamiiForums Tanzania JK awajibu wapinzani kuhusu Muswada wa katiba mpya; Adai ni waongo na wapotoshaji

    Jamani watanzania tuwe makini kuna wengine wanasema rais akubari kusaini hata rasimu ya katiba hawajaiona mpaka sasa na kama wameiona weni wao hawajaisoma na kuimaliza na kama wamemaliza hawajaielewa.hivyo tuwe makini tusipelekwe kama gari bovu tafuta rasimu ya katiba usome ndio utoe hoja ya...
  4. T

    JamiiForums Tanzania Padre amwagiwa Tindikali huko Zanzibar

    Eeh mungu baba wa mbinguni,muumba mbingu ma nchi, mkono wa uponyaji umponye padri mwang'ambwa,uiponye zanzibar kwa jina la yesu kristo amen.
  5. T

    JamiiForums Tanzania SUKARI: Wazalishaji waitaka Serikali ipandishe KODI kwa sukari inayotoka nje ya nchi

    Serikali kuwa makini ktk hili kwani msitake kuturudisha kuwa wategemezi.bora kununua sukari ya ndani kwa bei kubwa tuongeze kipato na uzalishaji zaidi kuliko kununua sukari kwa bei ya chini kutoka nje na kuua viwanda vyetu vya ndani.hiyo ni changamoto serikali isizubae ktk hili kwani uchumi wa...
  6. T

    JamiiForums Tanzania Kumekucha Madawa ya Kulevya: Kina 'Masogange' wawataja waliowatuma!

    Mmmmh kweli watu balaa wamegundua mbinu mpya ya kwamba ukitaka kuzima moto ni kupambana na moshi.kamwe hiyo kazi haitofanikiwa hata siku moja.wawaachie wakina masogange warudi kwenye chanzo kwa kina kinje na wengineo kazi itafanikiwa.
  7. T

    JamiiForums Tanzania Mwenyekiti wa CHADEMA, wabunge Lissu, Msigwa, Sugu, Silinde washikiliwa polisi Iringa!

    Mbivu na mbichi 2015.harakati za ukombozi haziji kidezodezo,mfa maji hakosi kutapatapa chadema tukaze kamba.wao wanapowashambulia kwa risasi kavu wanaoandamana kudai haki si uvunjifu wa aman ila kupitisha muda wa kumaliza mkutano????
  8. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa hofu ya kuzeeka, wasichana hufikia hatua ya kuolewa na yeyote au kuzaa na waume za watu...

    kwa kweli we bwana uko sahihi cha msingi wa dada ni kutulia ili kupata wachumba wenye nia njema kwani mwanaume makini humhitaji mwenza mwenye msimamo na kujiamini.
Back
Top Bottom