Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,371
Mhe.Lissu, upatapo nafasi nyingine huko uliko, ieleze dunia kuwa kuna mbunge wa CCM katamka Bungeni kuwa ana ushahidi wa tukio la wewe kushambuliwa na uitake serikali kupitia Jeshi la Polisi imuhoji mhusika.
Waambie walimwengu wapime dhamira ya serikali kupitia kauli ya mbunge huyo anaepaswa kuwa shahidi na waeleze kuwa wakishindwa kumuhoji, basi dunia ijiongeze kujua ni kina nani walihusika.
Tena ieleze dunia unashangaa kwanini muhusika hajatakiwa kupeleka ushahidi wake Bungeni kama ambavyo wabunge wa upinzani hutakiwa kuleta ushahidi pindi wanapotoa tuhuma ndani ya Bunge.
Lissu kauli hii ni kete nyingine kwako hivyo usisite kuitumia.
Watu hawa wanaangamia na kudhalilika kwa kukosa maarifa!!
Hatutaraji watalalamika kuwa unawachafua maana hapa utakuwa unawasaidia wajisafishe.
CCM na serikali mje haraka kumkana Mollel, kauli yake inawatega nyinyi. - JamiiForums
Waambie walimwengu wapime dhamira ya serikali kupitia kauli ya mbunge huyo anaepaswa kuwa shahidi na waeleze kuwa wakishindwa kumuhoji, basi dunia ijiongeze kujua ni kina nani walihusika.
Tena ieleze dunia unashangaa kwanini muhusika hajatakiwa kupeleka ushahidi wake Bungeni kama ambavyo wabunge wa upinzani hutakiwa kuleta ushahidi pindi wanapotoa tuhuma ndani ya Bunge.
Lissu kauli hii ni kete nyingine kwako hivyo usisite kuitumia.
Watu hawa wanaangamia na kudhalilika kwa kukosa maarifa!!
Hatutaraji watalalamika kuwa unawachafua maana hapa utakuwa unawasaidia wajisafishe.
CCM na serikali mje haraka kumkana Mollel, kauli yake inawatega nyinyi. - JamiiForums