kila mtu anaishi ili atimize kusudi fulani. km una ushahidi kuwa madaktari hawatimizi wajibu wao ipasavyo au ni wabaya tu upeleke kwenye vyombo vya sheria waadhibiwe. pia siyo vibaya kuwashauri ili tujenge jamii yenye utengemano. pia nakushauri ndugu mleta mada ujitafakari ili na wewe ujue km...
mbona kawaida sana kwa nchi yetu...endoscopy ni kipimo specialized sana kuna vingine basic kabisa vinakosekana hata huko unapoambiwa uende. chezea wanasiasa wewe
nilikuwa nawakubali sana. nilishaanza kuwaamini kuwa mnafaa kuongoza nchi. lakini haya yanayotokea. mwigamba vs mbowe...lema vs zito. hamna tofauti na wenzenu wanaojiita serikali sikivu. shame on you cdm
BIG RESULTS NOW. Badala ya kuboresha utoaji wa elimu, kuongeza walimu, kuwapa motisha walimu, kununua vitabu; kununua vifaa vya maabara, kuboresha mitaala WAO WANALEGEZA MAKSI ILI IONEKANE WATU WANAFAULU KULIKO ZAMANI. 2014-2015 KISHA WATASIMAMA MAJUKWAANI KUSEMA WAMEBORESHA ELIMU. HAHAHAHAAAAA...
all in all ni kwamba idea ya mwandishi ni nzuri lakini hiyo habari inahitaji editing ya mtu mwenye taaluma ya afya. mfano: kujua km mtu ana malaria kunakuzuia kumpima typhoid? kujua km mtu ana malaria kunakuzuia kufanya full blood picture? mtu asipokuwa makini anaweza kufanyiwa upasuaji...
Ndyo maana nikashauri awe na angalau taaluma kidogo kuhusu jambo analoliandikia. Angekuwa na taaluma angeweza kuzijua changamoto zilizopo kwenye sekta ya afya ndipo achague moja liwe specific objective yake. Vinginevyo ndyo unatokea mkanganyiko kama huu. Outcome ya kazi yake hii ni kujenga chuki...
nadhani mwandishi alikuwa na wazo zuri tu. kufichua maovu ni jambo jema. Lakini ninashauri mwandishi awe na elimu katika jambo analotaka kuliandikia. kwa nchi zilizoendelea kuna waandishi wenye taaluma ya sheria, waandishi madaktari, waandishi wanamichezo n.k .Hata ukimsikia anamhoji mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.