Recent content by trique da gunner

  1. T

    Ushauri kwa waliochaguliwa UDOM

    college of health and allied sciense kuna wajasi asee au mpaka cafteria?
  2. T

    Huawei vs tecno (which is the best smart phone ?)

    kaka tunaongelea quality ya smartphones znazotengenezwa na sio uuzaji wa mobile phones in general..! Top five smartphones zenye quality right now ni htc onem8,samsung s5,lg g3,sony experia z3, na iphone 6 na latest ya huawei ni mate 7 ambayo haiwez kucompete na hizo simu kuanzia mauzo hadi quality..
  3. T

    Huawei vs tecno (which is the best smart phone ?)

    huawei ana compete na tecno ila hizo zingne haziwez hata ukiangalia best smartphones top 15 hana product hata moja ilioingia
  4. T

    Huawei vs tecno (which is the best smart phone ?)

    hahahah.. Huawei ranks 3rd..? Vp kuhusu LG,SONY na HTC?
Back
Top Bottom