Recent content by Trial balance

  1. T

    JamiiForums Tanzania Nifanye mambo gani niepukane na tabia ya kukasirika bila sababu?

    Hii tabia ata sielew itaisha lini kuna watu waliniuzi bado wapo moyoni pia roho ya kusamehe sina labda kosa liwe dogo Sent from my itel S31 using JamiiForums mobile app
  2. T

    JamiiForums Tanzania Nifanye mambo gani niepukane na tabia ya kukasirika bila sababu?

    Iyo tabia imeanza form one sasa kipindi icho mimi natafuta ela au? Sent from my itel S31 using JamiiForums mobile app
  3. T

    JamiiForums Tanzania Nifanye mambo gani niepukane na tabia ya kukasirika bila sababu?

    Na kama mkubwa ukinisema tegemea mawil kukujibu ovyo au kukaa kimya kabisa kama bubu itategemea nipo kwenye mood gani. Sent from my itel S31 using JamiiForums mobile app
  4. T

    JamiiForums Tanzania Nifanye mambo gani niepukane na tabia ya kukasirika bila sababu?

    Yani hii tabia nashindwa kukaa kweli na watu ya kushinda kukasilika kasilik bila sababu utakuta asubuhi tumeamka ukanambia mambo nakujibu kwa hasira poa alafu sitaki uendelee kuongea ongea tena nataka ukae kimya najikuta kutotaka kunyanyua kinywa kuongea ongea Sent from my itel S31 using...
  5. T

    JamiiForums Tanzania Nifanye mambo gani niepukane na tabia ya kukasirika bila sababu?

    Hadi wazazi wakinikwaza nawanunia naweza ata nisile chakul sikuiyo nikashinda kulala tu Sent from my itel S31 using JamiiForums mobile app
  6. T

    JamiiForums Tanzania Nifanye mambo gani niepukane na tabia ya kukasirika bila sababu?

    Waganga tena ata siwezi mambo hayo Sent from my itel S31 using JamiiForums mobile app
  7. T

    JamiiForums Tanzania Nifanye mambo gani niepukane na tabia ya kukasirika bila sababu?

    A! Boss siwez mnunia nishawahi Fanya kazi akinisema najifungia sehem nalia hasira zikiisha naendelea na kazi namchekea kwa nje tu ila mpenzi ndo ilikuwa kazi yangu Mara namnunia Mara nafurahi Mara nanuna tena utakuta ajanifanya chochote kile sijui Nina mapepo Sent from my itel S31 using...
  8. T

    JamiiForums Tanzania Nifanye mambo gani niepukane na tabia ya kukasirika bila sababu?

    Nina tabia ya kukasilika bila sababu; pia naweza kumkasilikia mtu yeyote yule bila sababu yani naenda kwa mood tu mda wote yani naweza Cheka na wewe saizi baada ya mda mchache nabadilika usoni nikawa na sura ya kununa au huzuni! Naweza amka siku nzima nisiongee na mtu sana sana nikakusalimia...
  9. T

    JamiiForums Tanzania Tatizo la mkojo kutoka kidogo au kuchelewa kutoka

    Tatizo lako kama langu ila Mimi ni mvivu wa kunywa maji ila saiz iyo hali imepotea sijui imepotea na maji bado situmii sana yan ilikuw kila nikikojoa nikimaliza tu napata maumivu siwez kukaa chini hadi upite mda flani bas nikawa nakaa na cephalexin nikion iyo hali nakunywa vidonge viwil baada ya...
  10. T

    JamiiForums Tanzania Bongo movie & Bongo Fleva & Gospel jinsi walivyoweza kukuvutia katika kazi zao kiujumla

    Tangulia mbele yangu bwana kanyoshe mapito siwezi kwa ufahamu wangu nataka Leo nishinde by ambwene nampenda sana Sent from my itel S31 using JamiiForums mobile app
  11. T

    JamiiForums Tanzania Bongo movie & Bongo Fleva & Gospel jinsi walivyoweza kukuvutia katika kazi zao kiujumla

    Nini kimekuvutia kwa ringo mashavu yake na anavyoongea au ha ha ha Sent from my itel S31 using JamiiForums mobile app
  12. T

    JamiiForums Tanzania Bongo movie & Bongo Fleva & Gospel jinsi walivyoweza kukuvutia katika kazi zao kiujumla

    Ben Paul kuna nyimbo zake zile za mwanzo kabisa zilinivutia sana zikanifanya nimpende sana kukicha ni maneno maneno Sent from my itel S31 using JamiiForums mobile app
  13. T

    JamiiForums Tanzania Bongo movie & Bongo Fleva & Gospel jinsi walivyoweza kukuvutia katika kazi zao kiujumla

    Mimi naanza na Wolper na Irene uwoya pia Lulu na Diana Kimario hawa watu wanapendeza sana wakiigiza pamoja movie inakuwa tamu sana wanavutia pia katika uigizaji kimavazi hadi uongeaji, kabla sijaanza kuangalia movie huwa napenda kuangalia wahusika nikimuona mmojawapo lazima nitaiangalia iyo...
  14. T

    JamiiForums Tanzania Nimeumia kwa jinsi nilivyojibu mtihani wa leo

    That s why in history we have evolution of man everything is going stage by stage even a child who has born today will grow up stage by stage so just leave me with my poor English say thanks to God you have better than my.
  15. T

    JamiiForums Tanzania Nimeumia kwa jinsi nilivyojibu mtihani wa leo

    Everything is going with time I can t waste my time to you for replying your text (English grammatical) ha ha ha sorry
Back
Top Bottom