Luoman
Member
- Jul 2, 2020
- 20
- 44
Wakuu mimi ni kijana wa miaka 22 ndio nipo kidato cha sita mwaka huu, lakini nimekuwa na tatizo la kutoka kwa mkojo mdogo sana au kutoka kwa shida na ata ukitoka bado nahisi kama kuna mkojo umebaki kwenye kibofu lakini nikijaribu kuutoa wote haiwezekani tena.
Tatizo hilo limenitesa sio chini ya miaka 6 mpaka sasa, nilijaribu kwenda kituo cha afya kupima mkojo wakaniambia hawaoni tatizo
Je,kuna uwezekano wa tiba mbadala kwa huu ugonjwa?
Je, naweza kuathiri mpaka njia ya uzazi?
Ombi: kwa mtu mwenye uelewa kuhusu huu ugonjwa anifahamishe maana ninateseka sana
Tatizo hilo limenitesa sio chini ya miaka 6 mpaka sasa, nilijaribu kwenda kituo cha afya kupima mkojo wakaniambia hawaoni tatizo
Je,kuna uwezekano wa tiba mbadala kwa huu ugonjwa?
Je, naweza kuathiri mpaka njia ya uzazi?
Ombi: kwa mtu mwenye uelewa kuhusu huu ugonjwa anifahamishe maana ninateseka sana