Bongo movie & Bongo Fleva & Gospel jinsi walivyoweza kukuvutia katika kazi zao kiujumla

Trial balance

JF-Expert Member
Jun 16, 2020
202
159
Mimi naanza na Wolper na Irene uwoya pia Lulu na Diana Kimario hawa watu wanapendeza sana wakiigiza pamoja movie inakuwa tamu sana wanavutia pia katika uigizaji kimavazi hadi uongeaji, kabla sijaanza kuangalia movie huwa napenda kuangalia wahusika nikimuona mmojawapo lazima nitaiangalia iyo movie

Upande wa gospel nina Christina Shusho na Emmanuel mgogo upande wa Bongo Fleva nampenda Jux na Ben Paul japo saizi hawanifurahishi sana uimbaji wao uchekeshaji nilimpenda Majuto (RIP).

Wasanii wetu

IMG_20200702_231640_509.jpg
IMG_20200702_231621_665.jpg
IMG_20200702_231545_857.jpg
IMG_20200702_231529_362.jpg
IMG_20200702_231415_614.jpg
IMG_20200702_231351_851.jpg
IMG_20200702_231304_148.jpg


Je, wewe unavutiwa na nani?
 

Attachments

  • IMG_20200702_231545_857.jpg
    IMG_20200702_231545_857.jpg
    10.8 KB · Views: 1
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom