Recent content by tres bien

  1. tres bien

    Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina awaumbua wanaotaka kufuta "Legacy" ya Hayati Dkt. John Magufuli

    Wakati wa kufunguka ya moyoni ni sasa. No kutekana.
  2. tres bien

    Anayejua anachokisimamia Dkt. Slaa kwa sasa atuambie

    A lost jewelry in Tz policts. Sad.
  3. tres bien

    Rais Samia awarejesha kazini Watumishi zaidi ya elfu nne (4,000+) walioondolewa kipindi cha Magufuli kwa madai ya kugushi vyeti

    Kama nimemuelewa vzr Waziri ni kwamba wanaorudishwa kazini niwale walioondolewa kazini kwa kutokuwa na elimu ya kidato cha nne na sasa wameshajiendeleza na sio wale 12,000 waliogushi vyeti.
  4. tres bien

    Tetesi: DSTV kuleta king'amuzi cha antenna

    Acha waendelee kutapatapa. They will disappear soon
  5. tres bien

    Mganga Mkuu wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Pwani, Tumbi Hospital adaiwa kulazimisha watumishi kuchanjwa kinyume na hiari yao

    In medical issues hakuna kitu inayoitwa "kushurutisha/kulazimisha". Kinachotakiwa ni kutoa taarifa sahihi ya huduma na mlengwa aamue kuridhia kupata huduma paswa kupitia taarifa sahihi alizopatiwa (Informed consent). Huo ndio UTABIBU.
  6. tres bien

    Naachana na harakati za kisiasa Tanzania, hazina faida yoyote

    Mambo vipi best? Nyanya zinapatikana siku hizi huko Idegenda?
  7. tres bien

    Kwanini waafrika na watu weusi wana uwezo mdogo sana wa kufikiri na kustaarabika?

    "Kwamba tuna uwezo mkubwa!" Big no! Huo uwezo tungekuwa nao tungekuwa mbali sana. Wakati wenzetu wanatoboa anga na kufanya utalii wa anga sisi huku daah! " Kwamba hatujitambui" Hii nadhani ni kweli. Ila sidhani kana wazungu hawataki tujitambue. Hii ni fix. Wazungu wanajitahidi kutoa tongo tongo...
  8. tres bien

    RC Makala: Wafanyabiashara ndogo ndogo kupangwa upya Dar es Salaam, walioko barabarani kuondolewa

    Naomba hili AGIZO liwe la nchi nzima. Maana hawa chinga hawana adabu. Kwenye njia za wenda kwa miguu wanapanga biashara zao, kwenye vituo vya kupumzikia abiria wao wamefanya ofisi zao na ukienda STAND za mabasi ndio balaa. Stand ya MOROGORO imevurugwa na hawa binadamu. Ni uchafuzi kwenda mbele...
  9. tres bien

    Mabeberu, Vibaraka wa Mabeberu, Wazalendo wa Hayati Magufuli, na Mradi wa Bandari ya Bagamoyo

    Big up sana CHIGE. Umeshusha nondo nzito. Tunataka nondo kama hizi. Sio blabla.
  10. tres bien

    Rais Samia asije ruhusu mikutano na maandamano vitupotezee mwelekeo

    "Only the cowards of democracy like you, will give you a like"
  11. tres bien

    Serikali fungeni shule na vyuo kuokoa maisha

    "Wazee wa tufe wote in action 🚶"
  12. tres bien

    Kisichoeleweka kwa wadau kuhusu mbunge wa Morogoro Mjini, Abdulaziz Abood

    Ingekuwa Mimi ndio yeye NINGEJIUZULU Ubunge.
  13. tres bien

    Mh. Rais, Wizara ya Afya ni ka "Empire" ka Madaktari, Kuna "Mfumo Daktari" Ulioota Mizizi

    Ndugu tekelezeni majukumu yenu kwa mujibu wa taaluma zenu. Ukweli ni kwamba, Nyie mabwana afya jukumu lenu kubwa ni kuzui maradhi (Prevention). Lakini bado tunamaradhi kibao. Tatizo nini? Wauguzi nao msingi wa taaluma yao ni kuuguza. Wanapaswa kukaa muda wote na mgonjwa kwani ndio msingi wa...
Back
Top Bottom