Recent content by TREE OF LIFE FOUNDATION

  1. T

    Imaging Africa kitendo chenu cha kukata miti usiku Bamaga Mwenge ni cha kihuni, na ni uharibifu wa mazingira, hakikubaliki

    uttoh2002, miti inekatwa Jumamosi usiku, je ni manispaa gani hufanya shughuli zake usiku? Tayari tumewajulisha wenzetu wa Baraza la Mazingira NEMC na pia leo jumatatu tutaonana na mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Kinondoni.
  2. T

    Imaging Africa kitendo chenu cha kukata miti usiku Bamaga Mwenge ni cha kihuni, na ni uharibifu wa mazingira, hakikubaliki

    Kampuni ya matangazo ya Imaging Africa usiku wa Jumamosi tarehe 24.06.2023 walifanya uharibifu mkubwa wa kimazingira kwa kukata miti iliyooteshwa pembezoni mwa barabara. Imaging Africa imefyeka miti hiyo ambayo hawakushiriki kuiotesha wala kuitunza. Wamefyeka miti ili ubao wao wa matangazo ya...
  3. T

    Imaging Africa kitendo chenu cha kukata miti usiku Bamaga Mwenge ni cha kihuni, na ni uharibifu wa mazingira, hakikubaliki

    Kampuni ya matangazo ya Imaging Africa usiku wa jumamosi tarehe 24.06.2023 walifanya uharibifu mkubwa wa kimazingira kwa kukata miti iliyooteshwa pembezoni mwa barabara. Imaging Africa imefyeka miti hiyo ambayo hawakushiriki kuiotesha wala kuitunza. Wamefyeka miti ili ubao wao wa matangazo ya...
  4. T

    Faida 20 za Kula Parachichi

    Hongera sana. Hili ndio tunda lenye viini lishe vingi zaidi
  5. T

    Kilimo cha parachichi ni njia rahisi ya kuufikia utajiri mkubwa

    Uhitaji ya zao la parachichi unazidi kuongezeka siku hadi siku kutokana na kuwepo kwa viwanda vingi vinavyotumia zao hili la parachichi kama moja ya malighafi za kutengenezea bidhaa mbalimbali kama mafuta na bidhaa nyingine nyingi. Lakini pia zao la parachichi limekuwa hitaji kubwa sana...
  6. T

    Faida 20 za Kula Parachichi

    FAIDA ZA PARACHICHI (Faida 20 za Kula Parachichi) Parachichi ni aina ya kipekee ya tunda. Matunda mengi kwa asili ni wanga lakini parachichi limejaa mafuta yenye manufaa makubwa kiafya. Tafiti mbalimbali zilizofanyika zimebaini kuwa tunda la parachichi limesheheni manufaa makubwa katika afya ya...
  7. T

    Faida kuu 10 za tende kwa afya ya Binadamu

    Katika mwezi mtukufu wa Ramadhani, tende ndiyo tunda linaloliwa kwa wingi, pengine kuliko tunda lingine. Pamoja na kuwa ni tunda lenye ladha tamu na nzuri mdomoni, lakini kisayansi pia limethibitika kusheheni madini na vitamini lukuki, hivyo kuwa na faida nyingi kiafya. Katika makala ya leo...
  8. T

    Kilimo cha minazi ni utajiri uliopewa kisogo. Lima minazi kisasa, lima kibiashara

    Ni zao la kudumu, utaendelea kuvuna kwa zaidi ya miaka 90 hadi 100.
  9. T

    Michikichi fursa inayoweza kuwatoa kimaisha wakulima wengi

    KANUNI ZA KILIMO BORA CHA MCHIKICHI Miongoni mwa kanuni ya awali kabla ya zote ni Kuchagua eneo. Kanuni hii ni muhimu sana nayo inavigezo vyake ambavyo ni pamoja na:- 1. Liwe mabondeni lisilotuamisha maji muda wote. Lakini kama yanapita au kama yale ya maji ya mito kufurika ni mahala pake...
Back
Top Bottom