Recent content by Traxtion

  1. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Bongo Zozo amempost Humphrey Polepole, anadai amemmiss sana rafiki yake

    Katiba mbovu inayotetea wahalifu
  2. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Bongo Zozo amempost Humphrey Polepole, anadai amemmiss sana rafiki yake

    Hayupo Tanzania. Alishaondoka
  3. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Bongo Zozo amempost Humphrey Polepole, anadai amemmiss sana rafiki yake

    Leo nimeona Bongo Zozo amepost video ameweka na Caption "Nimemkumbuka sana rafiki yangu jamani 🥲🥲" Imefanya niwaze, ndugu, jamaa na marafiki wa Humphrey Polepole watakuwa wanaumia sana. Tunakoelekea Watanzania wataanza kuikimbia nchi yao wataanza kudhalilika kwenye nchi za watu kama Wanigeria...
  4. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Je, Tanzania inajenga makazi bora kwa ajili ya nani?

    Ufisadi jau sana
  5. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Je, Tanzania inajenga makazi bora kwa ajili ya nani?

    Hizi nyumba zimejengwa kwa ajili ya foreigners especially wahindi Mi naona serikali badala ya kuhangaika na kujenga nyumba, wangesimamia mpangomji, watz wajenge kwa mpangilio na hayo mabilioni ya hela ya ujenzi wa miradi ya NHC wangehamishia kwenye kuweka lami, kupanda miti na kufanya...
  6. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Nimeangalia video mpya ya Bertin ya Arusha CBD, ni pazuri sana

    Nilikuwa naangalia video mbili za Bertin zinazoonesha maeneo ya Arusha hasa City Centre, kwa kweli ni pazuri sana Kuna very high level ya ustaarabu, ukiangalia unaona kabisa haya ndio mazingira ambayo yanatakiwa kuwepo Tanzania nzima Paved roads, bustani, miti mingi sana, utulivu na usafi wa...
  7. Traxtion

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Angalia infrastructure 🇹🇿🇹🇿
  8. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Nipe sababu moja ya wewe kutokunywa/kutumia pombe

    Sisemi pombe ni mbaya, najua pombe japo ni chungu lakini ina raha yake ndio maana watu kibao duniani wako addicted. Ni basi tu sio ulimwengu ambao natamani kuu explore, halafu nahofia naweza nikawa addicted ikawa kazi ngumu kuacha, wakati naishi Kusini kuna jirani yetu alifariki kwenye...
  9. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Nipe sababu moja ya wewe kutokunywa/kutumia pombe

    Wazazi wangu wote walikuwa hawanywi pombe, sijawahi kuwa na mtu wa karibu anayekunywa pombe, na pia sijawahi kutamani kunywa pombe. Wakati niko advance kuna wanafunzi walikuwa wanaruka ukuta wanarudi na Konyagi, nilimuomba jamaa mmoja kizibo cha Konyagi nionje, aisee sijawahi kunywa kitu...
  10. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Mch Peter Msigwa: Serikali na Rais Samia Suluhu Hassan, swallow your pride & ego. Mwachieni Tundu Lissu, hana hatia..!

    Samia alidhani utawala wake utakuwa rahisi baada ya kuua watu Oct 29
  11. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Selasini: Watanzania waseme watakavyo, lakini namsihi Rais Samia asimwachie Lissu kwa shinikizo la nje

    Eti Mheshimiwa Rais, ana uheshimiwa gani huyo kilaza
  12. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Tazama majeraha ya risasi kwa Lissu; Mtanzania yeyote mwenye akili timamu anawezaje kuwakumbatia wanaofanya ukatili huu dhidi ya mwanadamu mwenzao?

    It is a hypothetical question. Kwani CCM wamewakataza hadi kujibu hypothetical questions 🐒
  13. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Tazama majeraha ya risasi kwa Lissu; Mtanzania yeyote mwenye akili timamu anawezaje kuwakumbatia wanaofanya ukatili huu dhidi ya mwanadamu mwenzao?

    Vipi kama kungekuwa na ushahidi wa asilimia 100 kuwa CCM ndio wamemfanyia hivyo, upi ungekuwa mtazamo wako juu ya kesi hii
  14. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Jamani naomba ushauri nimesoma form six PCM kwa ufaulu wa EED kuna watu wamenishauri kwamba naweza kusoma degree kwa baadhi ya vyuo binafsi

    Duh, ngoja waje Ila najua serikali inataka uwe na D mbili ili ku qualify kwenda degree
Back
Top Bottom