Mauaji ya Tanzania nimeongelea mara nyingi sana, na sijaacha kuongelea hadi leo.
Wewe huna akili, unadhani unaweza kuona kila comment nianayoandika humu JF as if utaweza kupitia JF nzima
Hiyo story ya Laikipia University ni sad coz the people affected are young and I can relate. Kuanzia reason...
Chanzo cha Maandamano:
Wakati wa likizo wanafunzi walienda kufanya hiking kwenye waterfalls. Mwanafunzi mwenzao anayeitwa Hillary alianguka vibaya akaangulia jiwe, na kutoka damu nyingi sana. (Kwenye hii video ilunaweza kuona maji ya waterfalls yalibadilika kuwe mekundu- damu)
Hillary alivuja...
Ila sio sawa, huyo aliyeua alipaswa na yeye auawe. Kwa nini mpige risasi direct kwa wanafunzi
Hata kuwajibishwa kwa huyo polisi sina matumaini kama watamwajibisha ipasavyo
Familia sita kutoka kaunti za Nakuru na Laikipia zinapaza sauti kutaka haki itendeke kufuatia makabiliano makali ya Jumatatu yaliyosababisha kifo cha mwanafunzi mmoja na kuwaacha wengine watano na majeraha ya risasi. Ian Mtai, mwanafunzi wa mwaka wa kwanza katika Chuo Kikuu cha Laikipia mwenye...
Kwa kweli kubomoa ndio suluhisho
Au kama wanawaonea huruma wantelazimishwa hata kupaka rangi nyumba na kuezua mabati yao ya kutu waweke mapya ya rangi. Halafu serikali iwawekee barabara na mitaro iliyozibwa ili kupunguza maji wakati wa mvua. Hapo hata mitaa itapendeza kidogo ionekane ni binadamu...
Sema Mbeya kwenye mitaa ya kishua wanajitahidi 😁
Mitaa yenye nyumba kali Mbeya haionekani maana mingi ipo nje ya maeneo yanayoonekana sana
Mitaa ya kishua ya Mbeya ina utulivu ukijumlisha na nature, ndio panakuwa bomba kabisa
Shida ni eneo kubwa la mjini ambako kuna shughuli nyingi za watu...
Hili jiji kuna sehemu nyingi sijui zibomolewe tu halafu zianze kujengwa upya
Nyumba nyingi ni below standard halafu Skyline yake imejaa slums kwa kiasi kikubwa halafu ni kama uwekezaji upo chini
Hili jiji linaipatia serikali hela nyingi sana kila mwaka ila kuna miradi michache mno ya...
Nadhani kwa UDOM kupanga ni kazi kubwa kutokana na mazingira yalivyo
Ila sisi wa MUST kupanga sio hustle kubwa hivyo, sawa chumba kizuri self ni 80K lakini chuo tunaenda kwa mguu, hata kipindi kikiwa saa 2 za usiku muda wote tupo standby 😅
Ila kwa UDOM nakubali ni bora akae tu hostel
Huu ni uongo mkubwa
Watanzania wamekuwa wakilalamika miaka na miaka kuhusu miundombinu mibovu, mafuriko, mipango miji nk
Ni uongo mkubwa kusema Watanzania wamejijengea picha kwamba hawastahili quality ya maisha. Umeingia Jamii Forums na kuona mada ngapi humu tumekuwa tukiongelea changamoto za...
Sasa kwa nini usingeanzisha mada special ambayo wananchi watakuwa wanatoa changamoto zao juu ya miji na majiji yetu Tanzania
Itakuwa ni jambo zuri zaidi kuliko kujadili mambo mabaya kwenye mada iliyojikita kwenye upande mzuri wa Dar es Salaam
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.