Sasahivi kuna regime katili ambayo inaweza kung'olewa madarakani, bado chance ipo
Lakini ukipata serikali ya watu weupe kwenye nchi ya watu weusi tutaendelea kunyanyasika kiuchumi milele. Jamii za watu weupe ndio zitaenjoy hayo maendeleo, sisi wengi wetu tutakuwa masikini na tunaishi kwenye...
Wakoloni wangebaki leo hii tungekuwa tunakimbia na mabango mitaani ya BLACK LIVES MATTER
Ni bora tumewafukuza wakoloni, tunachohitaji ni viongozi bora lakini watu weusi, sio wakoloni. Mimi hili siafiki hata kidogo
Alizaliwa na kukulia USA, so ni American citizen tangu anazaliwa hadi anakua hakuwahi ku renounce his American citizenship au kuswear allegiance to Kenya
So unaongelea masuala ya "Can claim" au "Can not claim"
Obama mwenyewe haoneshi interest sana na Kenya. Obama ni pure American ambaye ana mzazi mmoja kutoka Kenya lakini binafsi anafeel more at home akiwa USA kuliko Kenya, ni American citizen hadi alijihusisha na American politics na kuwa hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.