Recent content by Traxtion

  1. Traxtion

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Mauaji ya Tanzania nimeongelea mara nyingi sana, na sijaacha kuongelea hadi leo. Wewe huna akili, unadhani unaweza kuona kila comment nianayoandika humu JF as if utaweza kupitia JF nzima Hiyo story ya Laikipia University ni sad coz the people affected are young and I can relate. Kuanzia reason...
  2. Traxtion

    Kuna mbibi ana miaka 43 anataka huduma ya ngono kutoka kwangu mimi yanki mwenye 37yrs. Imekaaje kitaalamu hii wakuu?

    Ana miaka 43, mtoto mmoja wa miaka 10 na baba wa mtoto yupo Marekani 🤔 Mbona kama ni shangazi wa rafiki yangu. Yupo mkoa gani
  3. Traxtion

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    We huna akili. Nani amesema ya kwetu si sad. Unadhani ninafurahi watu kuuawa? Unajitengenezea imaginary arguments kama fala
  4. Traxtion

    Kenya: Wanafunzi 6 wapigwa risasi wakati wa maandamano Chuo cha Laikipia, mmoja wao amefariki

    Chanzo cha Maandamano: Wakati wa likizo wanafunzi walienda kufanya hiking kwenye waterfalls. Mwanafunzi mwenzao anayeitwa Hillary alianguka vibaya akaangulia jiwe, na kutoka damu nyingi sana. (Kwenye hii video ilunaweza kuona maji ya waterfalls yalibadilika kuwe mekundu- damu) Hillary alivuja...
  5. Traxtion

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Ila hii story ya Laikipia University ni so sad.
  6. Traxtion

    Kenya: Wanafunzi 6 wapigwa risasi wakati wa maandamano Chuo cha Laikipia, mmoja wao amefariki

    Ila sio sawa, huyo aliyeua alipaswa na yeye auawe. Kwa nini mpige risasi direct kwa wanafunzi Hata kuwajibishwa kwa huyo polisi sina matumaini kama watamwajibisha ipasavyo
  7. Traxtion

    Kenya: Wanafunzi 6 wapigwa risasi wakati wa maandamano Chuo cha Laikipia, mmoja wao amefariki

    Familia sita kutoka kaunti za Nakuru na Laikipia zinapaza sauti kutaka haki itendeke kufuatia makabiliano makali ya Jumatatu yaliyosababisha kifo cha mwanafunzi mmoja na kuwaacha wengine watano na majeraha ya risasi. Ian Mtai, mwanafunzi wa mwaka wa kwanza katika Chuo Kikuu cha Laikipia mwenye...
  8. Traxtion

    KERO Nyumba nyingi jijini Mbeya ziko chini ya kiwango na mpangilio wa jiji ni mbovu. Mamlaka hamuoni?

    Kwa kweli kubomoa ndio suluhisho Au kama wanawaonea huruma wantelazimishwa hata kupaka rangi nyumba na kuezua mabati yao ya kutu waweke mapya ya rangi. Halafu serikali iwawekee barabara na mitaro iliyozibwa ili kupunguza maji wakati wa mvua. Hapo hata mitaa itapendeza kidogo ionekane ni binadamu...
  9. Traxtion

    KERO Nyumba nyingi jijini Mbeya ziko chini ya kiwango na mpangilio wa jiji ni mbovu. Mamlaka hamuoni?

    Sema Mbeya kwenye mitaa ya kishua wanajitahidi 😁 Mitaa yenye nyumba kali Mbeya haionekani maana mingi ipo nje ya maeneo yanayoonekana sana Mitaa ya kishua ya Mbeya ina utulivu ukijumlisha na nature, ndio panakuwa bomba kabisa Shida ni eneo kubwa la mjini ambako kuna shughuli nyingi za watu...
  10. Traxtion

    KERO Nyumba nyingi jijini Mbeya ziko chini ya kiwango na mpangilio wa jiji ni mbovu. Mamlaka hamuoni?

    Hili jiji kuna sehemu nyingi sijui zibomolewe tu halafu zianze kujengwa upya Nyumba nyingi ni below standard halafu Skyline yake imejaa slums kwa kiasi kikubwa halafu ni kama uwekezaji upo chini Hili jiji linaipatia serikali hela nyingi sana kila mwaka ila kuna miradi michache mno ya...
  11. Traxtion

    KERO Wanafunzi wa UDOM tukibaki hosteli wakati wa likizo tunalipishwa japo tumeshalipa hela ya makazi

    Nadhani kwa UDOM kupanga ni kazi kubwa kutokana na mazingira yalivyo Ila sisi wa MUST kupanga sio hustle kubwa hivyo, sawa chumba kizuri self ni 80K lakini chuo tunaenda kwa mguu, hata kipindi kikiwa saa 2 za usiku muda wote tupo standby 😅 Ila kwa UDOM nakubali ni bora akae tu hostel
  12. Traxtion

    KERO Wanafunzi wa UDOM tukibaki hosteli wakati wa likizo tunalipishwa japo tumeshalipa hela ya makazi

    Yani mleta mada analalamika wanalipishwa halafu hela yenyewe ni aftatu
  13. Traxtion

    Skyline ya jiji la Dar es Salaam imepanuka sana

    Hiyo mitaa unayosemea ndio inayoongelewa kwenye mada?
  14. Traxtion

    Skyline ya jiji la Dar es Salaam imepanuka sana

    Huu ni uongo mkubwa Watanzania wamekuwa wakilalamika miaka na miaka kuhusu miundombinu mibovu, mafuriko, mipango miji nk Ni uongo mkubwa kusema Watanzania wamejijengea picha kwamba hawastahili quality ya maisha. Umeingia Jamii Forums na kuona mada ngapi humu tumekuwa tukiongelea changamoto za...
  15. Traxtion

    Skyline ya jiji la Dar es Salaam imepanuka sana

    Sasa kwa nini usingeanzisha mada special ambayo wananchi watakuwa wanatoa changamoto zao juu ya miji na majiji yetu Tanzania Itakuwa ni jambo zuri zaidi kuliko kujadili mambo mabaya kwenye mada iliyojikita kwenye upande mzuri wa Dar es Salaam
Back
Top Bottom