Wewe ulikuwa unapondea skyline ya Dar CBD and the likes halafu ulitaka watu wa support upuuzi wako, maana ulikuwa unajua kabisa Negative comments attract attention
Kwa hiyo unataka kila kijana awe mkulima, sio?
Mbona huelezei shida wanazopata wakulima, mvua chache, mvua kubwa kuharibu mazao, kuwekeza hela nyingi kuliko faida wanayopata au kuambulia hasara
Hakuna sehemu isiyo na changamoto acha kusimanga vijana. Vijana wanajitajidi sana, wanafanya kila kazi...
Hapo kwenye Watanzania wengi kujua mapishi ya msingi tu, ni sahihi. Mwenyewe huwa najua tu yale mapishi basic
Nadhani ndio maana nimechoka kula vyakula vilevile kwa sababu kila siku napika style zilezile
Exactly umeongea akili yangu kabisa
Shida ya Mbeya ni miundombinu duni. Mfano barabara miaka yote barabara imekuwa njia mbili tu, halafu ni poor quality ukilinganisha na jinsi ilivyo busy. Matokeo yake barabara imechoka mbaya, yani imechimbika, imeisha kabisa na huku kuipanua kuwa njia nne...
Hiyo ni barabara inapanuliwa kuwa njia nne ndio maana vumbi limeongezeka. Kutokana na asili ya ardhi ya Mbeya, ukifanya tu shughuli za kibinadamu kama ujenzi wa barabara, vumbi linakuwa jingi sana. Na kwa kuwa ujenzi wa barabara unasuasua, speed ya ujenzi ni ndogo kutakuwa na vumbi sana mpaka...
Yeah, zipo nyingi sana
Ndio hizo ninazosemea zimejengwa kitambo, na zimejaa sehemu kubwa. Labda wazibomoe au wazipake rangi ila kuzibadilisha ni ngumu sana
Tumaini pekee la Mbeya ni majengo yanayojengwa sasa, kwa sababu sikuhizi watu hawajengei matope kwenye neighborhood mpya
Pia sehemu za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.