Recent content by Traxtion

  1. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Msanii wenu anaelekea kubaya

    Mawazo ya kimasikini
  2. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Msanii wenu anaelekea kubaya

    Kwa akili yako unadhani Diamond hajitambui au? Wewe hofia watoto wako sio Diamond
  3. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Hivi Mbeya ni Tanzania? Nimekuta Vumbi la kutisha kama Jehanamu. Narudi Iringa

    Wewe ulikuwa unapondea skyline ya Dar CBD and the likes halafu ulitaka watu wa support upuuzi wako, maana ulikuwa unajua kabisa Negative comments attract attention
  4. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Vijana wa Bongo na Ndoto ya Content Creation

    Kwa hiyo unataka kila kijana awe mkulima, sio? Mbona huelezei shida wanazopata wakulima, mvua chache, mvua kubwa kuharibu mazao, kuwekeza hela nyingi kuliko faida wanayopata au kuambulia hasara Hakuna sehemu isiyo na changamoto acha kusimanga vijana. Vijana wanajitajidi sana, wanafanya kila kazi...
  5. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Tanzania yashika namba 9 kwa kuwa na bei kubwa ya mafuta Afrika

    Kenya lita moja ni Ksh 196.52 sawa na Tsh 3939.62 Kiufupi tumewazidi bei
  6. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Hivi Mbeya ni Tanzania? Nimekuta Vumbi la kutisha kama Jehanamu. Narudi Iringa

    Hizi zishajengwa tayari
  7. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Nimechoka kula vyakula vilevile kila siku

    Hapo kwenye Watanzania wengi kujua mapishi ya msingi tu, ni sahihi. Mwenyewe huwa najua tu yale mapishi basic Nadhani ndio maana nimechoka kula vyakula vilevile kwa sababu kila siku napika style zilezile
  8. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Hivi Mbeya ni Tanzania? Nimekuta Vumbi la kutisha kama Jehanamu. Narudi Iringa

    Exactly umeongea akili yangu kabisa Shida ya Mbeya ni miundombinu duni. Mfano barabara miaka yote barabara imekuwa njia mbili tu, halafu ni poor quality ukilinganisha na jinsi ilivyo busy. Matokeo yake barabara imechoka mbaya, yani imechimbika, imeisha kabisa na huku kuipanua kuwa njia nne...
  9. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Nimechoka kula vyakula vilevile kila siku

    Hivyo Mukimo, Injera na Dosa hata sijui ndio nini 😁
  10. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Nimechoka kula vyakula vilevile kila siku

    Mimi nimechoka kula vyakula vilevile mfululizo. Nahitaji recommendation ya vyakula vipya, sio notes za self actualization
  11. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Hivi Mbeya ni Tanzania? Nimekuta Vumbi la kutisha kama Jehanamu. Narudi Iringa

    Hiyo ni barabara inapanuliwa kuwa njia nne ndio maana vumbi limeongezeka. Kutokana na asili ya ardhi ya Mbeya, ukifanya tu shughuli za kibinadamu kama ujenzi wa barabara, vumbi linakuwa jingi sana. Na kwa kuwa ujenzi wa barabara unasuasua, speed ya ujenzi ni ndogo kutakuwa na vumbi sana mpaka...
  12. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Nimechoka kula vyakula vilevile kila siku

    😂😂 Eti mwili unaji reboot
  13. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Nimechoka kula vyakula vilevile kila siku

    Kweli, mimi hata kwa vyakula hivyohivyo, style nyingi za upishi itakuwa sizijui vizuri
  14. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Nimechoka kula vyakula vilevile kila siku

    Wajuaji wa JF bhana
  15. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Hivi Mbeya ni Tanzania? Nimekuta Vumbi la kutisha kama Jehanamu. Narudi Iringa

    Yeah, zipo nyingi sana Ndio hizo ninazosemea zimejengwa kitambo, na zimejaa sehemu kubwa. Labda wazibomoe au wazipake rangi ila kuzibadilisha ni ngumu sana Tumaini pekee la Mbeya ni majengo yanayojengwa sasa, kwa sababu sikuhizi watu hawajengei matope kwenye neighborhood mpya Pia sehemu za...
Back
Top Bottom