Leo nimeona Bongo Zozo amepost video ameweka na Caption "Nimemkumbuka sana rafiki yangu jamani 🥲🥲"
Imefanya niwaze, ndugu, jamaa na marafiki wa Humphrey Polepole watakuwa wanaumia sana.
Tunakoelekea Watanzania wataanza kuikimbia nchi yao wataanza kudhalilika kwenye nchi za watu kama Wanigeria...
Hizi nyumba zimejengwa kwa ajili ya foreigners especially wahindi
Mi naona serikali badala ya kuhangaika na kujenga nyumba, wangesimamia mpangomji, watz wajenge kwa mpangilio na hayo mabilioni ya hela ya ujenzi wa miradi ya NHC wangehamishia kwenye kuweka lami, kupanda miti na kufanya...
Nilikuwa naangalia video mbili za Bertin zinazoonesha maeneo ya Arusha hasa City Centre, kwa kweli ni pazuri sana
Kuna very high level ya ustaarabu, ukiangalia unaona kabisa haya ndio mazingira ambayo yanatakiwa kuwepo Tanzania nzima
Paved roads, bustani, miti mingi sana, utulivu na usafi wa...
Sisemi pombe ni mbaya, najua pombe japo ni chungu lakini ina raha yake ndio maana watu kibao duniani wako addicted.
Ni basi tu sio ulimwengu ambao natamani kuu explore, halafu nahofia naweza nikawa addicted ikawa kazi ngumu kuacha, wakati naishi Kusini kuna jirani yetu alifariki kwenye...
Wazazi wangu wote walikuwa hawanywi pombe, sijawahi kuwa na mtu wa karibu anayekunywa pombe, na pia sijawahi kutamani kunywa pombe. Wakati niko advance kuna wanafunzi walikuwa wanaruka ukuta wanarudi na Konyagi, nilimuomba jamaa mmoja kizibo cha Konyagi nionje, aisee sijawahi kunywa kitu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.