Recent content by Traxtion

  1. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Mwabukusi: Mbeya Sio Jiji ni Mkusanyiko wa Vijiji Vikubwa. Haina Miundombinu na Mzunguko wa Pesa ni Mdogo

    Kwa sababu ya uswazi. Imejaa sana uswazi wanakata hovyo miti Ila kiasili Mbeya ni green
  2. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Mwabukusi: Mbeya Sio Jiji ni Mkusanyiko wa Vijiji Vikubwa. Haina Miundombinu na Mzunguko wa Pesa ni Mdogo

    Hili la uchumi ni kweli mkuu. Sio kwamba Mbeya iko vibaya kwenye kila kitu. Kuna baadhi ya vitu inajitahidi. Shida ni huo mji kujengwa hovyo
  3. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Yesu aliwezaje kuhubiria watu zaidi ya 80k bila kutumia kipaza sauti?

    Ukihubiri sio lazima kila mtu akusikie
  4. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Kuna muda unatamani wakoloni weupe wangeendelea kubaki, hebu angalia mpango huu mkubwa wa reli wa kuiunganisha Tanganyika uliovurugwa na vita ya dunia

    Sasahivi kuna regime katili ambayo inaweza kung'olewa madarakani, bado chance ipo Lakini ukipata serikali ya watu weupe kwenye nchi ya watu weusi tutaendelea kunyanyasika kiuchumi milele. Jamii za watu weupe ndio zitaenjoy hayo maendeleo, sisi wengi wetu tutakuwa masikini na tunaishi kwenye...
  5. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Hivi kati ya chatgpt, Gemin na meta AI nani anatoa taarifa za kweli?

    Namkubali Gemini
  6. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Kuna muda unatamani wakoloni weupe wangeendelea kubaki, hebu angalia mpango huu mkubwa wa reli wa kuiunganisha Tanganyika uliovurugwa na vita ya dunia

    Wakoloni wangebaki leo hii tungekuwa tunakimbia na mabango mitaani ya BLACK LIVES MATTER Ni bora tumewafukuza wakoloni, tunachohitaji ni viongozi bora lakini watu weusi, sio wakoloni. Mimi hili siafiki hata kidogo
  7. Traxtion

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Ameondoka Shithole country akakimbilia USA. If I was a Kenyan I would have done the same 😂😂
  8. Traxtion

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Wewe ndio kilaza. The topic was whether he's Kenyan or not, wewe ndio umeleta mambo ya sijui anaweza ku claim nonsense in Kenya, blah blah blah
  9. Traxtion

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    At the end of the day he isn't Kenyan, he never was
  10. Traxtion

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Alizaliwa na kukulia USA, so ni American citizen tangu anazaliwa hadi anakua hakuwahi ku renounce his American citizenship au kuswear allegiance to Kenya
  11. Traxtion

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    So unaongelea masuala ya "Can claim" au "Can not claim" Obama mwenyewe haoneshi interest sana na Kenya. Obama ni pure American ambaye ana mzazi mmoja kutoka Kenya lakini binafsi anafeel more at home akiwa USA kuliko Kenya, ni American citizen hadi alijihusisha na American politics na kuwa hata...
  12. Traxtion

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Hii city muda wote iko na greyish look. Video nyingi ninazoona naona pamepauka sijui kwa nini
  13. Traxtion

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    https://www.facebook.com/share/v/1GQXQnVRns/
  14. Traxtion

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Nimeona kuna Mkenya anasema "Tanzania is punching harder in every corner 😂😂"
Back
Top Bottom