Kuna rafk yangu amekuwa akisemwa sana kwamba anatumia ushirikina katka masomo na hiyo imetokana na kushikilia nafasi ya kwanza toka 4m 1 mpaka 4m 4...na amepata 1 ya 10 mtihan wa taifa..hivi aya mambo yapo kweli?
credit tat znatakiwa ndio...lakn cdhan kama unaweza soma ECA kama una C ya history,civics,english and D book keepng and commerc na F ya hesabu...labda unifafanulie hapo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.