Recent content by travellah3

  1. travellah3

    Hivi Jeshi la Tanzania lina Special Forces?

    tanzania kuna marine special force wanavaaga vikofia vya dark blue, hata comando pia ni special force
  2. travellah3

    Kuna madhara gani kati ya ndoto ya babu wa Loliondo na mbunge Lema?

    we mtoa mada akili zko mbovu vile vile asa ndo umeandika nin
  3. travellah3

    Hivi kwanini....

    upo sahihi mkuu ushoga apele hukooo
  4. travellah3

    Vijue vyeo, Majina na Alama za Jeshi la Wananchi Tanzania(JWTZ)

    wew ndo hauko sahihi ni bib na bwana nyota nne na mkasi na hata gari lake linakua na nyota nne, huyo mwenye ngao nyota tatu na mkasi anaitwa luteni jenerali na gari yake pia inakua na nyota tatu
  5. travellah3

    Umuhimu wa Kiarabu kuwa lugha Rasmi Tanzania

    upo sahh mkuu
  6. travellah3

    Majambazi wenye bunduki na pikipiki wapora $40,000 ofisini kwa Mohamed Ishaq (scandinavia)

    huyo jamaa alifanya jambo la akili sana kwa sabb kama angesema aanze kufyatua risasi bas kuna uwezukano mkubwa wale majambazi wange react na ingekua hali mbay zaid
  7. travellah3

    Majambazi wenye bunduki na pikipiki wapora $40,000 ofisini kwa Mohamed Ishaq (scandinavia)

    mzee wakikusikia utakua hatiani mkuu unawapongeza majambzi mmmh
  8. travellah3

    Jeshi la Kujenga Taifa

    upo usingizini mkuu
Back
Top Bottom