Recent content by traore

  1. T

    Uzi Maalum wa Kunyooshana kwa Punchlines

    Mistari yako imepooza, imekosa nguvu kama daktari wa kienyeji aliyekosa dawa. Unajifanya unaleta chuma, kumbe ni msumari wa nchi mbili uliopinda kwa kutu, Kwenye hii cypher umeshikwa pabaya, umebaki kulia kama mtoto aliyenyang'anywa utu! Unasema nimeandika insha? Wewe hata sentensi moja...
  2. T

    Uzi Maalum wa Kunyooshana kwa Punchlines

    Unazungumzia ghetto, wakati kwako panya wamefurika, Unaleta mambo ya mke, kisa maisha yamekushika na kukotaka. Eti unadai mi sisali, wakati fuvu lako limepasuka, Mistari haina hata kazi, imepwaya kama ringi iliyochoka. Unajifanya upo juali, kumbe njaa inakutafuna na kukuharisha, Hapa ground mimi...
  3. T

    Uzi Maalum wa Kunyooshana kwa Punchlines

    Umeandika insha ndefu sana, unatafuta validation, Kingereza cha kukariri, kimejaa exaggeration. Huna jipya Xi Jinping, unabaki na imitation, Mistari haina gauge, imefeli hata calibration. Unasema una 'innovation' huku unatetemeka fingers, Kwenye hii cypher mzee, wewe ni mdogo kati ya singers...
  4. T

    Uzi Maalum wa Kunyooshana kwa Punchlines

    Freestyle sio vina
  5. T

    Uzi Maalum wa Kunyooshana kwa Punchlines

    Mtaalamu wa wapi unaandika ukiwa unatetemeka kama kuku wa mdondo? Mistari yako myepesi kama karatasi, haina hata uzito wa mtondo. Unajidai kina kirefu, kumbe umeingia kwenye beseni la kuogea watoto, Hapa JF mimi ndio daktari, nakupa vidonge upunguze huo moto. Unataja mambo ya kike, kumbe mfukoni...
  6. T

    Uzi Maalum wa Kunyooshana kwa Punchlines

    Eti unaharisha mistari... sasa unajisifia kujamba na kuharisha jukwaani? Tumbo lako siyo chuo kikuu, ni dampo la Pugu Kinyamwezi lililofurika nzi. Ukishika biki inakulilia, inajuta kwanini imeishia mikononi mwa mshamba, Verse zako hazina radha, zinatia kichefuchefu kama supu ya maharagwe...
  7. T

    Uzi Maalum wa Kunyooshana kwa Punchlines

    Ona ulivyozipiga punch bila huruma punch gani hizo zilizolainika kama maandazi ya jana? Unajiona umefanya kitu kikubwa, kumbe umekaa chini unatokwa jasho kutafuta vionjo vilivyochacha. Neema gani unayoizungumzia hapo wakati mistari yako haina hata gauge, imepwaya kama piston kwenye injini mbovu...
  8. T

    Uzi Maalum wa Kunyooshana kwa Punchlines

    Hiyo michano yako haina tofauti na kelele za chura kwenye dimbwi la maji machafu. Unajifanya mbabe wa matusi wakati akili yako imedumaa kama betri ya simu ya mchina. Buku ten yako haitoshi hata kununulia pamba ya kuziba masikio usisikie aibu yako, Kaa kwa kutulia mwanangu, hapa umekutana na...
  9. T

    Uzi Maalum wa Kunyooshana kwa Punchlines

    Mnabwaka sana kwenye nyuzi zenu, kumbe mna status za Verified za mchongo, JF mimi ndio Sherifu, nyinyi ni wezi wa kuku mnaokimbia rungu. Mnajifanya mnajua Intelligence, kumbe taarifa zenu mnaokota fb, Nikishusha uzi mmoja wa maana, mnajificha kama panya walioona paka. Mimi ndio King, jina langu...
  10. T

    Uzi Maalum wa Kunyooshana kwa Punchlines

    Eti Real ones move in silence ,asa mbona wewe unapiga kelele kama kasuku? Unapost 'equation' za maisha huku mfuko wako una error tupu! Unajiona deep thinker wakati akili yako haina hata gauge ya mawazo, Mistari myepesi, haina uzito, imepwaya kama piston kwenye ringi mbovu. 'Online superhero' ni...
  11. T

    Uzi Maalum wa Kunyooshana kwa Punchlines

    Ndege tai gani usieruka umbali wa futi mbili juu ya kiwanda cha tofali? Unajidai unaua, kumbe hata mbu wa malaria humuwezi kwa ukweli! Hiyo damu unayokunywa labda ni juice ya ukwaju iliyochacha stendi, Ayatollah wa mchongo, kwenye gemu hii wewe ni bendera inayofuata upepo usio na mwelekeo...
  12. T

    Uzi Maalum wa Kunyooshana kwa Punchlines

    Mamba wa JF gani unaishi kwenye dimbwi la sifa? Mistari feki, unalialia kama mtoto aliyekosa keki! Unataja rand na Tsh, mfuko wako una nzi na vumbi, Puli unayosukuma inakuacha chali, huna hata kundi. JF hawakujui, huko umejificha nyuma ya keyboard, Ukisogea mtaani unajikunyata kama ubao wa clipboard
  13. T

    Uzi Maalum wa Kunyooshana kwa Punchlines

    Unajifanya unagawa koni, kumbe unalilia vocha ya jero, Huyo 'Simba mzee' unayejiita, mbona unafukuzwa na kuku wa kienyeji kwa mkwara mmoja Unajiona Chibu Dee wa mjini, wakati unanuka jasho la kubeba zege, Mistari yako imepinda pinda, imechoka kama tairi ya baiskeli ya mshale! Kilemba unachosema...
  14. T

    Uzi Maalum wa Kunyooshana kwa Punchlines

    Unajisifu una level za Uingereza, wakati hata visa huna, Upo hapa hapa Bongo, unakomaa na kula kimasikhara jf, Unasema vita unaiweza, mbona baridi linakutetemesha? Hiyo familia ukiona inajikusanya, ujue inakuja kukuzika na kukupoteza! Unajiona upo juu, kumbe umebebwa na upepo wa dhoruba, Huna...
Back
Top Bottom