Mtoto wa karume anatetea haki na ni mwanaharakati na katika maisha yake ajawai pata tabu yoyote hasa kiuchumi hadi leo hii alafu unakuta mtu anatabu toka kuzaliwa kwake anashangilia utawala huu wa kibabe na kidhalimu wakati hata familia yake aijawai kua hata na mjumbe ni ukenge tu wa...
Abiria tumekwama KIA toka jana na leo tumeamkia hapa uwanjani lakini bado hatujui hatima yetu kama tutasafiri
Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
Sio tatizo lake domo lake na kujikomba kwake ndo kula yake sisiem ikianguka kuna vijana wengi wataongezeka kutokua na ajira rock mwakibinga tetea ugali wako tu
Kampuni hajasajiliwa alafu kodi mnaitoza na kuichukua every month kweli hii nchi watu wake wanaitaji elimu maana kila kitu mnakichuka kwa emotions bila kufikilia shubamiti
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.